Not married,married or divorced

unaniruhusu nikusahihishe mamito? Not married ni group la (divorced, separated, widowed na never married) nadhani ulimaanisha never married ambaye tunategemea hajawahi kuonja kulala na mwenzi hadi asubuhi kihalali. Never married ndio unaweza kukuta watu walio na bikra. Kuna makundi makuu matatu i. Ever married, ii. Currently married na iii. Never married. Ever married (separated, divorced and widowed) and never married are called single. Katika uhamiaji hii kitu ni muhimu maana siamini hata jack angalikuwa ni mke wa mtu au ana mtoto anayemtegemea angaliweza kwenda macau. Akiingia mtu ambaye ni currently married uharaka wa kurudi makwao ni mkubwa kuliko wengine n.k.

asante mkuu kwa marekebisho... Hope bado ujaguswa kwa hiyo upo kwenye kundi la............... Malizia mwenyewe
 
asante mkuu kwa marekebisho... Hope bado ujaguswa kwa hiyo upo kwenye kundi la............... Malizia mwenyewe
NEVER MARRIED (ila nisahihishe pia kwekundu, ulitakiwa kusema bado hujaGUSA, siyo hujaguswa kwani kwa mwanaume wa ukweli haguswi bali anagusa. Kuguswa kwa mwanaume rijali ni ukameruni). Karibu Njinjo kwa pamoja Mkuu
 
Wadau kwenye form unazojaza wakati unatua nchi mbali mbali au hata ukiwa unajaza personal information kwenye form yeyote duniani kuna kile kipengele cha marital status huwa sikielewi vizuri.
Kwanini choice isiwe Not married na married tu? Kwanini kuna section ya divorced/widowed/separated? Zina umuhimu gani sababu mtu ni aidha married au not married full stop.

Mwenye uelewa zaidi anijulishe.

Nahisi pengine labda sababu mojawapo yaweza kuwa ni kwa ajili ya mirathi na pia taarifa za kiusalama, just in case kuna ajali wakati wa kutua na in case someone is suspected of any wrong doings thereafter. Mind you zaidi ya 50% ya ajali za ndege huwa zinatokea wakati wa kutua.
 
Kweli hilo wazo lako ni muhimu sana
Wawekee uzi.

...............Happy New Year...........
Kwa nini kwani unakiogopaaa hata hapa kiwepo ili tujue status za watu hata mabango ya kutafuta wachumba yatapungua maana utakuwa unaenda kwenye group la hitaj lako unatuma maombi tu simple
 
Kweli hilo wazo lako ni muhimu sana
Wawekee uzi.

...............Happy New Year...........
Eti eeee sasa changamoto itakuja hapa hata divorced watajiweka kwenye group la never married ili kujiweka sokoni ndo hapo watu wataingia chaka
--------------Happy New year too----------------
 
Haaa hivi wewe ukoje lakini,
Kwani divorced wana vilema au wana kasoro gani,

Ha ha haaa mbona wapo tena wako bomba sana tu acha hizo Daudi1 bhana
Eti eeee sasa changamoto itakuja hapa hata divorced watajiweka kwenye group la never married ili kujiweka sokoni ndo hapo watu wataingia chaka
--------------Happy New year too----------------
 
Last edited by a moderator:
zinasaidia kufahamu tabia yako huko ulikotoka mpaka sasa..
Na waish vp na wewe. Kama uko divorced au widowed lazima utakua na tabia za kipekee ktk taasisi, so wata ku handle with care and concern...
 
Haaa hivi wewe ukoje lakini,
Kwani divorced wana vilema au wana kasoro gani,

Ha ha haaa mbona wapo tena wako bomba sana tu acha hizo Daudi1 bhana
Hawana shida na ni wazuri tu ila saikolojia yao inakuwa tofauti na wale ambao hawajagusa ndoa some tyme hata treatment inakuwaga ngumu
 
Ok poa,
Ngoja tumalize mwaka vizuri
Tusiwe kama tuko kule siasani.

Kila la kheri Daudi1.

Hawana shida na ni wazuri tu ila saikolojia yao inakuwa tofauti na wale ambao hawajagusa ndoa some tyme hata treatment inakuwaga ngumu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom