Not for weak heart

Nish

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
730
114
Jamaa kahisi kiu akaomba maji kwenye nyumba moja mtoto akamletea maziwa jamaa akanywa fasta kisha akamuuliza mtoto kwa nini amempa maziwa mtoto akasema panya alidumbukia hivyo hawayahitaji jamaa akashtuka akadondosha glass mtoto akapiga kelele mamaa ile glass ya bibi ya kutemea mate imepasuka jamaa lo! akazirai hapo hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom