North Korea Imekuwa Superpower Country

North Korea Imekuwa Superpower Country

Kuna Lijamaa linaongoza hivi vyote.....


1.Strong Military,
2. Advanced technology,
3.Strong economy,
4.Geopolitics influence,
5.Multi-donor


Kama kuna "Kiinchi" kinamkaribia bwana yule hata nyanja moja hapo juu( hasa no. 3) basi inasemekana lijamaa likisinzia basi miongo kadhaa huko mbele kitakua "supapawa" otherwise mnapiga story za mgahawani tu..
 
Hawa jamaa wataisaidia dunia kuondoa ujeuri wa USA ikidhani ndio pekee yenye HATI NA HAKI MILIKI ya silaha za nuclear na utaalamu wa hayo mambo. Kama Rais KIM UN JONG asingekuwa na uwezo huo unadhani Rais mjeuri wa USA Trump angeota hata kuongea naye!? USA imesha ona nguvu na uwezo wa hili Taifa ndio maana wameomba wakutane waongee kiutu uzima yaishe vinginevyo ni shida tu.
Aliyeomba ni kiduku kupitia south korea wewe fala.
 
Embu nitajie kwa vigezo gani hadi awe superpower kijeshi

Ningeweka neno 'labda' mwanzoni pengine ningeeleweka vizuri....Mimi siko huko unakofikiria wewe...mijadala ya humu ndani baadhi yake imejaa ushabiki mno...
 
Hajatokea mwingi,Uchumi mxuri na Jeshi bora hiyo ndo Superpower
Acha uwongo wewe, huo ubora wa jeshi LA USA upon wapi ? Sema yeye ana genge linalomsaidia kuingia kwenye nchi za watu kimabavu na so vinginevyo..
 
Back
Top Bottom