Akienda kutibiwa wamnyooshe.
wabunge wanachukua sh ngapi? wanatofauti gani na nyie walimu?Hiyo ni kweli, kundi la madaktari linaloanzia na g..... likishirikiana na dr. majeruhi wamechukua fwedha kuendesha harakati za mgomo kutoka chama kioja cha siasa tanzania na NGO nitaitaja baadaye ili kutoa madai yasiyotekelezeka. Hii ni aibu kubwa, eti kuendeleza maslahi ya chama hicho. ukilitazama kwa undani suala hili ni la kisiasa sana kwani daktari anayeanza kazi alipwe 3.5m huyo ambaye ni specialist alipwe ngapi? haya walimu wenye degree zinazofanana na za madaktari wanalipwa tshs ngapi? mshahara wa kuanzaia tshs 1,100,000 eti ni mdogo? acheni udwanzi sisi walimu tunalipwa 420,000 mnatofauti gani na sisi? hizo ni siasa chafu
Martha Mlata anatumia Makalio yake kufikiri sababu ubongo wake umedumaa sana.
Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?
Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?
Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''
IT IS MORE THAN PAIN
Hili nalo neno. Kazi kwako Kamanda KovaBunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?
Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?
Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''
IT IS MORE THAN PAIN
hajaambiwa adhibitishe kwa maandishi?
mlata ni mtu mwenye akili zake. hawezi kusema neno from air. anajua analolisema. madaktari wanatumwa. si bure! she is right!