SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Staili hiyo ya kuwalipa watu iko huko CCM, kila mwenyekiti wao akitaka kutoa pumba zake anavilipia vile vizee vya chama chao dhaifu ili vije kumshangilia, lakini kwa madaktari hilo haliwezekani,na huyo mbunge lazima awe ni kilaza wa hali ya juu,( kuna mtu ananinong'oneza hapa kumbe mbunge mweyewe ni vitu maalumu.)