mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,851
Ndani ya miaka sita ilyopita, nchi hii tumeshuhudia sheria zilizopo zikipindisha haki kwa kiwango cha kutisha. Raia wakitendewa ndivo sivyo katika nyanja mbalimbali.
Vyombo vya maamuzi zikiwemo mahakama vikifichwa mfukoni na kundi fulani, kitu kinachopelekea kundi lenye haki likiumizwa vibaya. Hivi punde kwenye kesi ya Mwananchi ambae ni kiongozi wa juu akisingiziwa kesi kinyume kabisaaa na utaratibu na hata Ushahidi ukionyesha uonevu.
Lakini mbinu mbalimbali zimekua zikitengenezwa ili aidha kumuumiza kisaikolojia ama kumfunga. Yote haya yakiwa yanatendeka Wananchi wako kimya bila kuonyesha hisia juu ya uonevu huu. Je, kundi hili limeshika dhamana ya wananchi ama limejishikia dhamana yake lenyewe?
Vyombo vya maamuzi zikiwemo mahakama vikifichwa mfukoni na kundi fulani, kitu kinachopelekea kundi lenye haki likiumizwa vibaya. Hivi punde kwenye kesi ya Mwananchi ambae ni kiongozi wa juu akisingiziwa kesi kinyume kabisaaa na utaratibu na hata Ushahidi ukionyesha uonevu.
Lakini mbinu mbalimbali zimekua zikitengenezwa ili aidha kumuumiza kisaikolojia ama kumfunga. Yote haya yakiwa yanatendeka Wananchi wako kimya bila kuonyesha hisia juu ya uonevu huu. Je, kundi hili limeshika dhamana ya wananchi ama limejishikia dhamana yake lenyewe?