Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nondo Moja yenye damu ya Binadamu Mbeya inauzwa Mpaka 100,000 za kitanzania. Sasa kuna Jamaa alipewa hiyo dili ya kupiga Nondo lakini siku hiyo hakufanikiwa kabisa kukutana na Binadamu, wakati mida inayoyoma Mbwa si akakatiza Mshkaji kwa uroho wa Pesa apamtwanga Yile Mbwa Nondo ya Kichwa na kupaza damu yake. Biashara ya Nondo zenye damu humalizika usiku jamaa Akapeleka Mzigo kwa Mwenye Bucha akalamba Kilo (100,000/=) taslimu. Kivumbi Asubuhi Msela amechukua nondo yake akaning'iza Nyama akisubiri Wateja Mwanangu Badala ya Watu si Mbwa wakaaanza Kumiminika katika Bucha la Mshikaji.
Kweli Mbeya ni Naumer
Kweli Mbeya ni Naumer