Wanajamvi mimi sio mjuzi wa sheria,naomba kujuzwa na wabobezi wa sheria juu ya haki anazopoteza mtuhumiwa aliyesomewa mashtaka ya jinai mahakami kabla ya mahakama kumtia hatiani,nauliza kutokana na memo inayooneka mitandaoni juu ya nondo kusimamishwa masomo kwa tuhuma zinazomkabili,na kama sheria mama hatoi nafasi ya adhabu kwa mtuhumiwa ni haki kwa sheria ndogo zinazotungwa na tasisi kutoa adhabu kwa mtuhumiwa?
NONDO AMEHUKUMIWA?
NONDO AMEHUKUMIWA?