Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Wakuu ninatumia nokia c3-01,ovi store yangu ilikuwa outdated nikifungua inaniletea current version niupdate lakini
nikitaka ku-update ina-fail naambiwa "there is no secure connection" nimehangaika sana kutafuta hyo secure
connection na suluhu ya hilo tatizo wapi.
Ndipo nikaja kugundua kwamba nikijiunga kwenye hizi bundle za internet kwa mfano za cheka au extreme ndy ninapata
hilo tatizo hivyo nikajaribu ku-download direct kwa kutumia pesa ya kwenye simu nikafanikiwa sasa nina new version
ya nokia store na inafanya kazi vizuri.
Nimeweka hapa jamvini ili kama kuna watu wanatatizo kama ambalo nililokuwa nalo mm waweze kupata majibu,pia
kuuliza kuhusu hiyo secure connection,bila shaka unapokuwa na bandle ya internet na usipokuwa unatumia bundle
unaccess katika channels 2 tofauti za internet moja ni secure na nyingine siyo nilitakakujua kwa wanaofahamu
utofauti wa hizi connection 2 na inakuwaje moja ni secure na nyingine siyo ni kwa namna gani?..
nikitaka ku-update ina-fail naambiwa "there is no secure connection" nimehangaika sana kutafuta hyo secure
connection na suluhu ya hilo tatizo wapi.
Ndipo nikaja kugundua kwamba nikijiunga kwenye hizi bundle za internet kwa mfano za cheka au extreme ndy ninapata
hilo tatizo hivyo nikajaribu ku-download direct kwa kutumia pesa ya kwenye simu nikafanikiwa sasa nina new version
ya nokia store na inafanya kazi vizuri.
Nimeweka hapa jamvini ili kama kuna watu wanatatizo kama ambalo nililokuwa nalo mm waweze kupata majibu,pia
kuuliza kuhusu hiyo secure connection,bila shaka unapokuwa na bandle ya internet na usipokuwa unatumia bundle
unaccess katika channels 2 tofauti za internet moja ni secure na nyingine siyo nilitakakujua kwa wanaofahamu
utofauti wa hizi connection 2 na inakuwaje moja ni secure na nyingine siyo ni kwa namna gani?..