'Play Store Inagoma Kwenye Tablet Yangu Maaada Wakuu'

NDUKI

JF-Expert Member
Jan 19, 2013
3,423
2,414
'Habari zenu wakuu................poleni na mishughuliko ya kutwa nzima ya kujenga taifa letu,kiukweli baada ya kusumbuka na kuhangaika juu ya hii tablet nnayotumia nikasema hapana nimeshindwa acha niitupie jamvini hili tatizo ili lipate ufumbuzi.

Bila ya kupoteza muda ni kwamba nna tablet ambayo nashindwa kuingia PLAY STORE hivyo nashindwa ku-download applications nyingi tu ikiwemo whatsapp hii tablet alikuwa anatumia sister wangu mdogo na wakati anatumia yeye alikuwa anaingia play store na hata whatsapp alikuwa akiitumia kama kawaida ila baada ya kuweka line yangu haifungui GOOGLE PLAY nikifungua napata msg hii hapa AUTHENICATION IS REQUIRED.YOU NEED TO SIGN INTO YOUR GOOGLE ACCOUNT nimejaribu ku-sign kwa account ya zamani ikakataa nikafungua account mpya nikaingia kwenye settings nikakuta account alizokuwa anatumia sister nika-add account new account inasema THIS ACCOUNT nduki@gmail IS NOT AVAILABLE nika-add existing account inaleta msg hii hapa CAN'T ESTABLISH A RELIABLE CONNECTION TO A SERVER.THIS COULD BE A TEMPORARY PROBLEM OR YOUR ANDROID DEVICE MAY NOT BE PROVISION FOR DATA SERVICES.IF IT CONTINUES,CALL CUSTOMER CARE si kwamba hakuna bundle kwenye simu LAA bundle zipo za kutosha na internet napata kwa H na 3G na tablet nnayotumia ni PRESTIGIO ANDROID VERSION 4.0.4 MODEL NUMBER PMP7170B3GCE BASEBAND VERSION MAUI.11AMD.W11.50.SP.V18 KERNEL VERSION 3.0.13 na chip nnayotumia ni ya TIGO WAKUU NAOMBA MSAADA WENU JUU YA HILI,THANKS IN ADVANCE.
chief-mkwawa, Paje, Dreson3, elmagnifico, njunwa wamavoko, WAHEED SUDAY
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, hebu jaribu kudelete hizo account ubaki na moja tu utakayotumia maana saa nyingine hizi device za android huwa zinatoa preference kwa account, yaani account moja inapewa priority ya primary kwenye play store, kuna mtu alikuwa na tatizo kama lako kwa sababu yeye alinunua simu ya android kutoka kwa mtu akawa akisign kwa kutumia account yake inakataa mpaka alivyodelete account ya yule alikoinunua
 
Ingawa mimi sio mtaalam sana kwanini usiifanye factory settings ili ifute kila kitu ambacho kiliongezwa na mtumiaji aliyepita ili uweke e mail yako pamoja na vitu vyako unavyotaka.
 
Mkuu, hebu jaribu kudelete hizo account ubaki na moja tu utakayotumia maana saa nyingine hizi device za android huwa zinatoa preference kwa account, yaani account moja inapewa priority ya primary kwenye play store, kuna mtu alikuwa na tatizo kama lako kwa sababu yeye alinunua simu ya android kutoka kwa mtu akawa akisign kwa kutumia account yake inakataa mpaka alivyodelete account ya yule alikoinunua

'yah,nikitaka ku-delete account mkuu ikawa imeniuliza REMOVING THIS ACCOUNT WILL DELETE ALL OF ITS MSGZ,CONTACTS AND OTHER DATA FROM THE TABLET then nika-kish kidogo coz kuna contacts nyingi sana na za watu muhimu za sister nikasema kabla ya ku-accept ngoja niombe msaada kwanza ila ikibidi itabidi ni-delete itakapobidi NO WAY OUT kwani nikifuta humu kama amezi-back up kwenye mail yake si zitabaki mkuu au nikifuta huku zinaondoka na kwenye mail yake hata aki-login kwa laptop?'
 
Ingawa mimi sio mtaalam sana kwanini usiifanye factory settings ili ifute kila kitu ambacho kiliongezwa na mtumiaji aliyepita ili uweke e mail yako pamoja na vitu vyako unavyotaka.

'ni kweli mkuu aliniuliza mbona akupati whatsapp nikamwambia nashindwa kuingia play store akaniambia kama vipi ufanye factory settings ila utapoteza apps nyingi nikamwambia ngoja kwanza niwaulize wadau kama kuna njia mbadala kama itashindikana basi ntafanya factory settings sasa ndo nimekuja kwa jamvi kupata njia mbadala aidha ikishindikana basi itabidi ni-delete kwanza account kama ikiwa bado inakataa basi itabidi nifanye factory settings hakuna method nyingine mkuu kabla hatujaziendea hizo...?'
 
Setting>mobile networks>Access Point Name>
Name>tigo internet sio wap.
Apn>interney sio wap
 
Setting>mobile networks>Access Point Name>
Name>tigo internet sio wap.
Apn>interney sio wap

'okay kalendi let me try this then nakula feedback kiongozi,thnx in advnc mkuu'
 
Setting>mobile networks>Access Point Name>
Name>tigo internet sio wap.
Apn>interney sio wap

'yes,nimebadili APN na NAME nimeweka kama ulivyonielekeza coz haikuwa hivyo nadhani lilikuwa ni moja kati ya tatizo pia lakini bado haikukubali kufunguka baada ya hapo nikafanya alivyonielekeza WAHEED na kila kitu kikawa kama inavyotakiwa kuwa kiongozi naahkuru pia kwa mchango wako mkuu'
 
Mkuu, hebu jaribu kudelete hizo account ubaki na moja tu utakayotumia maana saa nyingine hizi device za android huwa zinatoa preference kwa account, yaani account moja inapewa priority ya primary kwenye play store, kuna mtu alikuwa na tatizo kama lako kwa sababu yeye alinunua simu ya android kutoka kwa mtu akawa akisign kwa kutumia account yake inakataa mpaka alivyodelete account ya yule alikoinunua

'well,nime-check nae akaruhusu ni-delete account nikafanya hivyo then nikafanya kama ulivyonielekeza nikafuta nikaweka account yangu ambayo nnayotaka kuitumia haijachukua dakika mkuu kila kitu kikawa sawa nadhani hii itawasaidia hata watakaopatwa na tatizo kama hili hapo badae nashkuru sana kwa ushauri na muda wenu kwa pamoja MUNGU awazidishie KNOWLEDGE mliyonayo zaid na zaid,nashkuru sana'
 
'well,nime-check nae akaruhusu ni-delete account nikafanya hivyo then nikafanya kama ulivyonielekeza nikafuta nikaweka account yangu ambayo nnayotaka kuitumia haijachukua dakika mkuu kila kitu kikawa sawa nadhani hii itawasaidia hata watakaopatwa na tatizo kama hili hapo badae nashkuru sana kwa ushauri na muda wenu kwa pamoja MUNGU awazidishie KNOWLEDGE mliyonayo zaid na zaid,nashkuru sana'

Pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom