Paxman tatizo hujui unaongea nini. Lait ungejua nadhan usingetoa sababu ambazo hazina msingi kama izo. Au kama wewe ni sales man wa Nokia sawa. Ila in technology, design nokia wapo nyuma saana they have a long way to go ni bora hata ungeniambia HTC kwenye android au simu nyingine kuliko hixo unazosema. Pia nadhan umefiatilia maamuzi ya kesi btn apple n samsung......