Nokia kuhamia android "haiwezekani"...nokia sasa ------------ na Microsoft Ni vigumu mno kwa kampuni iliochhini ya Microsoft ikatimua OS ya wapinzani Wao wakubwa wa biashara google
we hujui dunia inavyoenda sasa ngoja nikupe hizi statistics labda utaelewa.
per day ukitumia service za google wao wanapata dola 6.85 ambayo kwa mwaka ni kama dola 2500 aproximation. hivyo mtu ambaye yupo active na service za google kwa mwaka anaipatia hii kampuni milioni 4. kwa wale ambao wapo adroid kitambo maybe washaingizia google kama milioni 20.
microsoft wao service zao si za kiwizi wizi kama google. wana games (unacrack) wana ms office (una crack) wana windows (una crack) vitu vyao karibia vyote ni vya offline hivyo unaweza kuwa navyo vyote kwa kuwaibia bila hata kuwaingizia sh 10.
baada ya kuona hivyo jiulize sasa microsoft atapataje hela? hata mtoto mdogo atajibu hapa ni kuwafikia wateja kadri utakavyoweza halafu uwape service za bure lakini zenye matangazo au faida nyengine ili upate hela. na strategy moja wapo ni ya android.
chukua android toa vitu vyote vya google eka vitu vya nokia na microsoft halafu uza google hapati hata sh 10 hapa. ndo mana utaona sasa hivi wana bing map, xbox music, skype nk
na mfano mzuri tunaziona kindle fire. baada ya apple na ipad marekani na ulaya anaefatia kwa kuuza tablet nyingi ni amazon ambaye huuza tablet kwa bei ya hasara lakini anapata faida kwa kutumia service zake kama vitabu, amazon store nk. amazon hajaeka service za google.
na kama uliiona ile screenshot ya normandy utaona wameweza kureplace karibia vitu vyote.
1. google drive itakua skydrive
2. hangout itakua skype
3. g map itakua here map
4. gmail itakua outlook
5. g+ itakua facebook
6. playstore itakua ovi/amazon app store
7. google search itakua bing search
kila kitu kina alternative