Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,068
- 43,498
- Thread starter
- #21
Cmu ipi itakuwa nzuri katika swala la kukaa na chaji muda mrefu kati ya hizo.
kaka mpaka zikianza kuuzwa ndio tutajua. simu inaweza kuwa na battery kubwa ila isikae na chaji na nyengine zina battery ndogo zinakaa na chaji