Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
leo ilikua ni presentation ya nokia kwenye mobile world congress na kama kawaida nokia hawajatuangusha wakatuletea simu 5 za bei rahisi zaidi.
nokia 220
hii itukuwa kama s40 nyengine simu ya kawaida inayorun app za java na kusuport vitu kama facebook na internet
simu hii iyauzwa around 65,000
nokia asha 230
hii ni touch screen ndogo itakayoungana na nokia asha 501, 500, 502 na 503
simu hii nayo itauzwa around 90,000 hadi laki 1
nokia x na x+
simu mbili za android nokia x na x+ zimezinduliwa leo zikiwa na maumbo yanayofanana na kutofautiana storage na memory tu.
zote mbili zitakua na kioo cha inch 4, processor 1ghz dualcore na internal ya 4gb. nokia x ina internal 4gb bila memory card wakati nokia x+ itakua ina memory card. pia nokia x itakuwa na ram 512mb wakati nokia x+ itakuwa na ram 768mb. hivyo kwa wale wanaotumia simu whatsap kupiga na kupokea simu nokia x itawafaa ila wale ambao wanatumia simu kwa mambo mengi nokia x+ itakuwa ni nzuri zaidi.
bei itakua around 200,000 kwa nokia x na 220,000 kwa nokia x+
nokia xl
wapenzi wa simu kubwa nokia anawaletea simu ya android ya inch 5 kwa bei rahisi tu.
specs
-kioo inch 5 wvga
-camera 5mp ya mbele 2mp pamoja na flash
- processor s4 snapdragon na ram 768mb
-4gb internal memory ina na sehemu ya memory card
-ina glance screen pamoja na double tap to awake
-battery 2000mah
-double line
simu hii itauzwa around 240,000
kuhusu android ya nokia
1. imebase kwenye android open source project(aosp) na sio hii ya google
2. android ya nokia haitatumia playstore bali nokia store na third party store kama yandex na amazon
3. android ya nokia haitatumia service za google bali za microsoft na nokia kama vile heremap, onedrive na skype
upatikanaji
hizi feature phone yaani asha 230 na 220 zitapatikana immediately maybe keshokutwa ukazikuta dar,
nokia x itapatikana itapatikana mapema wakati x+ na xl ni hadi mwezi wa 4
taarifa na specs hazijakuwa clear nita update thread kuweka specs sahihi
nokia 220
hii itukuwa kama s40 nyengine simu ya kawaida inayorun app za java na kusuport vitu kama facebook na internet
simu hii iyauzwa around 65,000
nokia asha 230
hii ni touch screen ndogo itakayoungana na nokia asha 501, 500, 502 na 503
simu hii nayo itauzwa around 90,000 hadi laki 1
nokia x na x+
simu mbili za android nokia x na x+ zimezinduliwa leo zikiwa na maumbo yanayofanana na kutofautiana storage na memory tu.
zote mbili zitakua na kioo cha inch 4, processor 1ghz dualcore na internal ya 4gb. nokia x ina internal 4gb bila memory card wakati nokia x+ itakua ina memory card. pia nokia x itakuwa na ram 512mb wakati nokia x+ itakuwa na ram 768mb. hivyo kwa wale wanaotumia simu whatsap kupiga na kupokea simu nokia x itawafaa ila wale ambao wanatumia simu kwa mambo mengi nokia x+ itakuwa ni nzuri zaidi.
bei itakua around 200,000 kwa nokia x na 220,000 kwa nokia x+
nokia xl
wapenzi wa simu kubwa nokia anawaletea simu ya android ya inch 5 kwa bei rahisi tu.
specs
-kioo inch 5 wvga
-camera 5mp ya mbele 2mp pamoja na flash
- processor s4 snapdragon na ram 768mb
-4gb internal memory ina na sehemu ya memory card
-ina glance screen pamoja na double tap to awake
-battery 2000mah
-double line
simu hii itauzwa around 240,000
kuhusu android ya nokia
1. imebase kwenye android open source project(aosp) na sio hii ya google
2. android ya nokia haitatumia playstore bali nokia store na third party store kama yandex na amazon
3. android ya nokia haitatumia service za google bali za microsoft na nokia kama vile heremap, onedrive na skype
upatikanaji
hizi feature phone yaani asha 230 na 220 zitapatikana immediately maybe keshokutwa ukazikuta dar,
nokia x itapatikana itapatikana mapema wakati x+ na xl ni hadi mwezi wa 4
taarifa na specs hazijakuwa clear nita update thread kuweka specs sahihi
Kama tulivokua tukisikia rummors. Jamaa wamefanya kweli. Ila suprise kidogo maana wengi walitegemea device moja tu, wajamaa wamtoa device tatu za Android, hafu bei ya kawaida sana. Nokia X na Nokia X+ na Nokia XL.
Nokia X Features za muhimu:
- Processor: 1GHz dual-core Qualcomm Snapdragon 8225
- RAM 512MB
- Kioo: 4" 800x480 IPS LCD capacitive screen ikiwa na 233ppi.
- Camera: 3MP
- Battery 1500mAh
Nokia X+ sasa:
- Processor: 1GHz dual-core Qualcomm Snapdragon 8225
- RAM: 768MB
- Kioo: 4" 800x480 IPS LCD capacitive touch display with 233ppi
- Camera:3MP
View attachment 141299
Nokia XL:
View attachment 141298
- Processor: 1GHz dual-core Snapdragon S4
- RAM: 768MB na internal memory 4GB na unaweza weka memorycard ya 32GB
- Kioo: 5" (Sijajua bado sifa zake)
- Camera: 5MP na mbele 2MP
- Bei: Euro 109: Kama Tsh 250,000
Nokia wametoa pia Nokia 220 bei ikiwa ni Euro 19 kama TSh 65,000. Hii simu wanasema inaweza kaa mwezi mzima na chaji kwa standby na masaa 51 ikiwa inapiga music.