Nokia Fans : Nokia 8 is Out

utakuja,
mkuu nimeisoma hio documets na hao jamaa sidhani hata kama wana credibility
1. jina tu lipo ovyo na wanaeka matangazo hadi kwenye documents kama hio tena mwanzo hata kabla ya yaliyomo wanaonesha kabisa jinsi wasivyojielewa.

2. nimewagoogle ni boutique technology firm, sijui wao na lte mahusiano yao yaaingia vipi,
kwa kampuni yote kubwa kama Nokia, samsung, Apple etc hawawezi kuwa na njaa kiasi hicho mpaka official document iwekwe matangazo.

anyway hii ni source yangu
graph la juu nililitoa seeking alpha na linatokana na article one data hapa
Article One Partners and Thomson Reuters Study Shows LTE Patent Leadership Essential for Future of Smartphone Market

achana na mambo ya juzi samsug anamlipa qualcomm na modem zake toka 90s miaka zaidi ya 20 iliopita.
Qualcomm blocked Samsung from selling Exynos processors
dunia ya sasa hutengenezi modem ya simu bila tech za qualcomm,
 
IPhone na Samsung hawawezi kuuza simu zao kwa bei hiyo maana, Apple kwa sababu ya Margin na Samsung kwa sababu kama kila review inavyosifu S8 ni a Master piece kwenye Hardware.

Lakini kwa bei ya 460$ kuna simu unaweza Pata kama One plus 5, Xiaomi mi 6 zote zikiwa na Snapdragon 835 but pia kwa bei hiyo Unaweza pata the beautifully designed LG G6 (ambayo inafanya hiyo Nokia ionekane like a child's toy) OnePlus 5 review: Still the best value smartphone
Deal: LG G6 is $430 in the US, V20 drops to $393
Xiaomi Mi 6 4G Smartphone INTERNATIONAL VERSION 6GB RAM 64GB ROM-$418.69 and Online Shopping | GearBest.com Mobile

Kwenye hiyo Ozo audio nimesikiliza the so called "demonstration" against hiyo popular phone ambayo hawaja taja so mpaka reviews ziwe uploaded siwezi kusema if ni superior kuliko wanacho tumia LG au Samsung au Sony though nauhakika ni better than Apple’s. Sawa na swala la build quality na durability nitasubiri ifix it wafanye teardown na ulivyo sema "wametumia screws badala ya magundi" kumbuka hichi uwekwa kwa jili ya waterproofing Nokia 8 hawaja fanya hivyo maana sio ip68 certified wala sio a poor design choice kwa Samsung, Apple na wengine.

What do you mean kitu ambacho sio relevant? Najua unaelewa how impressive the 10nm process is at the time but hizo shout out za Sony kwa kutengeneza sensors sio kubwa sana maana Samsung pia anatengeneza sensors hizo hizo za kwake mwenyewe anatumia tu Sony kwa sababu ya the scale ya Galaxy line so hawezi tengeneza all 50 million sensors hence some zitatumia Sony sensors some in house Samsung Galaxy S8 uses two different camera sensors.

As for patents na Nokia yeah anamlipa 1 billion per year Nokia and Samsung announce expanded patent licensing deal because wanashare lakini Samsung hamlipi Nokia for Lte as you can see yeye ndio baba kwenye 4g kwa kuongoza kwa patents Dropbox - iRunway - Patent & Landscape Analysis of 4G-LTE.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app

turudi kwenye ozo audio,

Nokia 8 vs best current audio flagship htc u11


power of ozo
hii concert, sikiliza quality ya audio na makelele ya muziki


nasubiria hio v30
 
Good stuff.

Hao HMD wajipange kwenye distribution ya simu zao.

Nokia 3,5&6 hadi leo sizioni sokoni.
 
Angalia hii,ni technology ambayo imetumika kwenye hii simu hiyo cooling pipe imeunganishwa na processor ili kuipa simu nguvu na kuipoza yaani unaweza kuchukua video kwa saa 1,ukacheza game kwa masaa 2,ukadownload n.k bila simu kupata moto yaani inakuwa kama umeshika cocacola ya baridi mkononiView attachment 581922
afu hiyo feature sio mpya ipo ktk simu za mchina muda tu. WELCOME BACK OUR NOKIA
 
Kwangu nokia ni miongoni mwa simu bora zaidi. East or West Nokia ni best
 
Boss na wewe ni Fan wa hiki kilinge.?
Sana.

Natumia Nokia since Jeneza.

Nimetafuta Nokia 6 hadi leo sijaziona Tanzania.

Nimeamua kurudi iphone 6s plus huku pembeni nna Nokia Lumia yangu.

Wakisumbua distribution ya Nokia 8 ntaendeleza na iphone 8 inayotoka next week.
 
Bavaria,
Fika pale kariakoo sokoni Kuna duka linaitwa swahili mobile au mpigie jamaa namba hizi 0652080001, huyu ndo mwenye duka una order hiyo Nokia 6 kisha anakuagizia kwa 600k pia ukitaka Nokia 3310 2017 unapata kwa 100k
 
Bavaria,

Kama una hamu sana nunua online. Ingia aliexpress, Ebay weka order. Ndani ya wiki 2 unakiwa na simu yako mkononi.

Kama si mzoefu sana wa online biz mpe order Mwlrct mzigo utakufikia.
 
Chief-Mkwawa,
Kama unavyoona kwenye video hiyo 'Bothie' ni impossible at 4k kama utakavyo ona kwenye dakika ya 5:50 inarecord in 1080p .

Na pia tokea Mwanzo hadi mwisho wa hii video



Hata hiyo Ozo enhancement yenyewe pia inazimwa on this .. Itakuwa so simu isiover heat.. Hence ni yale yale hata kukiwa na heat pipe uwezi kupingana na physics but tusubiri further reviews tuangalie hiyo cooling kwenye 4k recording, gaming n.k

Kumbuka Essential pia ina record 4k front facing camera Essential PH-1 - Full phone specifications
Na pia sijui kama umesahau au lakini hiyo bothie feature ni kitu ambacho LG na Samsung washaweka before in 2013, Samsung waliita Dual shot

na LG

So hii sio "world first" kama kila mtu anavyo isemea.. But hiyo ya kuweka camera ya mbele plus ya nyuma kuwa sensor moja ni something great.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief-Mkwawa,
Haya iRunway; kwenye document ya kwanza ni technology consultants wenye knowledge ya kubwa ya Intellectual property namely Patents (ambacho ni relevant kwenye kaubishi ketu kwenye nani ni a more powerful player kwenye Lte).

Anyway mbona tunatoleana Study za 2012, Mambo ya essential patent yanabadilika based on R&D Dropbox - 65910282779.pdf as you can see ukileta a better technology ya zamani inaachwa inatumika yako na kwa sasa 2013 to 2014 Samsung kashampita huyo kwenye Lte na ndio aliyeongoza from 2015 na 2016 Samsung tops LTE patent possession according to the study

Natafuta studies tofauti lakini hamna inayo concentrate kwenye Lte alone but GSM, UMTS na LTE kwa pamoja. But anyway.

"With regards to 4G LTE mobile telecommunications technology, Samsung pursued the ambitious goal of establishing a leadership position in this area. To this end, Samsung developed telecommunications solutions and mobile devices while simultaneously conducting extensive R&D to strengthen the competitiveness of the company’s standardization efforts. As a result, Samsung was able to release the industry’s first commercial products and services embedded with LTE/LTE-A technology, as evidenced by the LTE dongle in 2009, Voice over LTE (VoLTE) service in 2012 and Carrier Aggregation technology in 2013." Samsung


Sent using Jamii Forums mobile app
 
turudi kwenye ozo audio,

Nokia 8 vs best current audio flagship htc u11


power of ozo
hii concert, sikiliza quality ya audio na makelele ya muziki


nasubiria hio v30


Okay tuje kwenye hiyo Ozo kwa mujibu wa maskio yangu Samsung is better


na because nilisikia Samsung s8 vs LG v30
Kwenye sound V30 ndio king..

I'm certain hata One plus 5 ni better except for Audio

Sasa nitabidi ni subiri Objective review zenye chart tujue technology ipi ni superior kwenye audio recording maana kila mmoja hapa ana bias yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakuja,
hivi mkuu husikii hayo hayo makelele ya s8? kwenye hio video ya juu? akiswitch s8 upepo unavuma na makelele kibao ila ikija nokia 8 ipo kimya na sauti inatoka clear?

kitu gani better kwenye hio audio ya sammy? ngoja review zaidi, watu watest kumbi za disco, viwaja vya mipira, masoko, ndani kulikotulia etc.
 
utakuja,
mkuu utatafuta simu nyingi kuonesha hio camera sio unique ila ukumbuke nokia 8 amevileta pamoja, na ni world first sababu
1.direct from camera app inastream, sio kupiga tu, hope uaelewa processing power iayohitajika kulive stream, uploading na recordig at same time
2. na hizo simu zinazotumia camera ya mbele na nyuma pamoja hazikuwa na camera nzuri ya mbele hivyo usitegemee pro yoyote kuitumia zaidi ya gimmick,

mambo hayo mawili ya kulivestream na camera zote kuwa of same quality zinaifaya nokia 8 kuwa uique tayari na kujitofautisha na wengine.


na mtu anaposema world first anamaanisha ameanza yeye, hamaanishi hakitakuja kufanywa kamwe, sababu nokia 8 imetoka kabla ya essential, na hakuna mtu aliesema front camera ya nokia 8 ni world first.

Gsmarena tayari wameshaireview Nokia 8 na hii ni conclusion yao kuhusu perfomance ya Nokia 8
it's one of the smoothest and fastest smartphones we've seen this year, if not the best. It runs cool under pressure, has no lag when switching apps, and the whole interface feels more fluid than, say, Galaxy S8 or even the OnePlus 5. If we could pick an Android flagship for the most responsive user experience, it will be probably the Nokia 8

wao wameona ipo cool under pressure, na simu ya quad HD kuipita simu ya full HD hadi kwenye fluid na responsiveness wana kitu cha kuipoza hio adreno na kuifanya isi throttle, na pia kuwa cool kumechangia kiasi fullani kwa Nokia 8 kupost battery life nzuri kuliko wenzake wa quad HD na s835

tusubiri na reviews nyengine soon zitatoka.
 
utakuja,
acha ubishi pembeni sema ile haki kuna kampuni serious dunia hii ikakuekea matangazo kwenye sensitive document kama hio inayo involve investors? leo hii management ya mohamed dewj au bakhresa inapresent kitu kina involve wawekezaji waweke tangazo la tecno kwenye document au kupatana ina make sense kwako?

na tumia akili ya kuzaliwa,
-Nokia now biashara yake kubwa ni network anasupply network kote duniani hasa 4g kwa sasa
-kama samsung anamiliki patents nyingi za 4g zinazotumika kwanini inakuwa vice versa? why samsung amlipe nokia kutumia hizo technology? si Nokia alitakiwa amlipe samsung? Nokia anasupply vipi lte?

hizi source zaidi
[url]【Comment and Analysis】Nokia, Ericsson etc. Remain Patent Giants in 4G Era-IP Update-Kangxin Partners, P.C.︱Intelle

hapo kuna Wenhua Zhang na huyo mwengine, ni watu wakubwa wa telecom, why hawamzungumzii leader wa telecom yaani sammy na badala yake wanazungumzia dagaa kina Nokia na Ericson? kwanini wanasema china imeachwa na Kina Nokia na Ericson badala ya Samsung kwenye 4g?
 
Kama simu cc Chief Mkwawa ameikubali mimi nani hadi niipinge? Acha kesho nikainunuwe tu tigo shop pale.
 
Back
Top Bottom