Nokia Fans : Nokia 8 is Out

Complex

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
4,113
4,741
Kwa wale wapenzi wa Nokia , baada ya kutoa Nokia 6, 5 na 3, Nokia ametoa flagship yake tayari. Naona ametembea mulemule kwa kama wadau walivyotarajia. Camera ametumia Zeiss optics, Processor ametumia snapdragon 835 ambayo ndo processor bora kwa sasa.

Body ametumia aluminium unibody na final touch inaonekana superb, screen ameweka favourable kwa maana si kubwa sana wala ndogo sana kwani ameweka ya 5.3" display na ameachana na kufuata mkumbo wa curved edges kama wenzake na bezel less phones na amestick katika core roots za simu. Bei inakadiriwa kuwa around Euro 600. Unaweza pitia review yake full katika video hii niliyoambatanisha hapo chini.

Upande wa sauti ameua kabisa kwani ameimplement tecnolojia yake ya OZO 3D sound na kufanya kuwa best upande wa sauti. Pia kuna bonus ya superb cooling system ambapo ndani kuna copper pipe iliyozungushiwa ndani ya simu nzima na kufanya ishu ya cooling system kuwa nyepesi na ya kwa kiwango cha juu.




 
Sina hakika kama ataweza kucompete na samsung...Nokia zaman bwana saiv hana jipya
so far vitu hivi amefanya
-updates za haraka
-stock android
-simu imara zaidi
-audio nzuri zaidi

soc ni zile zile hivyo perfomance itakuwa sawa, ila sababu ina stock inamaana in long term Nokia itachelewa kuwa slow

vitu hivyo tayari Nokia yupo zaidi ya samsung,

kwenye camera, display, battery life, feature za android samsung wapo juu zaidi,

Wanachotakiwa NOkia ni kuharakisha tu kuport camera technoligies za kipindi cha lumia kuja kwenye Android maana tech husika HMD washainunua bado tu kuieka,

uzuri ni kwamba Nokia 8 itauzwa nusu ya bei ya Note 8 na karibia robo tatu ya bei ya s8, hivyo mtu ataangalia mwenyewe,

HMD hawajatoa figure za mauzo ila kuna interview nimeiona jamaa wa HMD anasema wameshauza tayari mamilioni ya smartphone na makumi ya mamilioni ya feature phone. hivyo sio mbaya kwa kampuni mpya.
 
Sina hakika kama ataweza kucompete na samsung...Nokia zaman bwana saiv hana jipya

Ngoja tuone, Lakini so far Nokia tayari ameshaprove anarudi katika soko kwa nguvu. mauzo yake ya Nokia 6 tayari yamedhihirisha hilo. Unachotakiwa kujua ni kuwa kama ilivyo kwa samsung, Pia nokia ana fan base yake ambay ni tiifu kwa simu za nokia. Na hao fans wake kwa kipindi cha nyuma ambapo nokia hakuwa sokoni, walikuwa wamejibanza katika Iphone na Samsung siku ziende. Ila kwa urejeo wa Nokia katika soko, Tutegemee wale Fans wake wote kurejea katika Nokia. Na hilo limejidhihirisha katika product alizozitoa mpaka sasa. Na kwa mwendo huu wa kutoa simu mawe na metal cases, tutegemee

Nokia 6 demand crazy high, first sale gets over in a minute
 
Mpaka sasa simu yenye audio bora duniani ni nokia 8 ikifuatia htc 11u,
Kwa ujio wa huu ozo audio enhancement wapinzani wa nokia watasubiri sana tunasubiri kwasasa update ya android Oreo kwenye hii simu ambapo watakuja na update ya camera ya nokia lumia UI kitu ambacho kitakuwa bora

Kama camera ya nokia 8 imeweza kushindana na Samsung 8,huawei p10 na htc 11 sipati picha kwa nokia 9 itakapotoka itakuwaje!!

Acha niisubiri hii simu hadi mwakani najua itakuwa imeshuka zaidi niivute
 
Ila boss nokia ana historia ya simu zake kutoshuka bei kizembe. Sijui labda itokee kwa hii Nokia 8.
mkuu soko ndio linashusha simu bei sio kampuni, ikitoka snapdragon 845 automatic simu za sd835 zitashuka bei

Apple yeye hazishuki haraka sababu hardware zake ni unique, Nokia za zamani hazikushuka ovyp sababu pia alikuwa unique, camera kama ya 1020 hadi leo hakuna ndio maana unakuta simu haishuki.

Akianza kutoa vitu ambavyo anavyo Nokia tu simu hazitashuka bei,
 
Sina hakika kama ataweza kucompete na samsung...Nokia zaman bwana saiv hana jipya
Angalia hii,ni technology ambayo imetumika kwenye hii simu hiyo cooling pipe imeunganishwa na processor ili kuipa simu nguvu na kuipoza yaani unaweza kuchukua video kwa saa 1,ukacheza game kwa masaa 2,ukadownload n.k bila simu kupata moto yaani inakuwa kama umeshika cocacola ya baridi mkononi
Nokia-8-copper-pipe-1024x576.png
 
kwa wale wapenzi wa Nokia , baada ya kutoa Nokia 6, 5 na 3, Nokia ametoa flagship yake tayari. Naona ametembea mulemule kwa kama wadau walivyotarajia. Camera ametumia Zeiss optics, Processor ametumia snapdragon 835 ambayo ndo processor bora kwa sasa.

Nokia 6, 5 na 3; Hizi simu zinapatikana hapa Bongo? I mean officially.
 
Nokia 6, 5 na 3; Hizi simu zinapatikana hapa Bongo? I mean officially.
kuna app ya Nokia care nilicheki wamelist kuna agent wao hapa bongo, ila officially mimi sijaziona na hata Tangazo barabarani sijaliona, kupatana na site nyengine zinapatikana hizo simu sema bei lazima ulipe premium laki 1 au 2 zaidi ya bei.
 
Angalia hii,ni technology ambayo imetumika kwenye hii simu hiyo cooling pipe imeunganishwa na processor ili kuipa simu nguvu na kuipoza yaani unaweza kuchukua video kwa saa 1,ukacheza game kwa masaa 2,ukadownload n.k bila simu kupata moto yaani inakuwa kama umeshika cocacola ya baridi mkononiView attachment 581922

This is the coolest feture around. Hakika Baba wa inovations is Back. Tutegemee inovations za kufa mtu. Samsung anachomzidia nokia kwa sasa ni camera, Ikitokea Nokia amemudu camera vyema katika hizi simu zake ziaazotoka mpya, basi samsung ataona vumbi tuu. Na kitu kimojawapo kitakachompoteza samsung ni udelicate wa simu zake, kwani simu zake zinawahi kufubaa mapema.

Ngoja Nokia awawekee standard na SI unit ya simu imara na bora inatakiwa ifananaje.
 
kuna app ya Nokia care nilicheki wamelist kuna agent wao hapa bongo, ila officially mimi sijaziona na hata Tangazo barabarani sijaliona, kupatana na site nyengine zinapatikana hizo simu sema bei lazima ulipe premium laki 1 au 2 zaidi ya bei.

Nakumbuka kuna siku uliweka link ya FB page ya mtu anayeuza hizi Nokia, niliwacheki jamaa ila bei zao zilikuwa juu sana nikaachana nao.

Nadhani mawakala wa kuuza simu watachangamkia deal ili tupate official dealers.
 
kwenye camera, display, battery life, feature za android samsung wapo juu zaidi,
vitu ulivovitaja hapo juu ndio end users wanaangalia wanaponunua simu...kama umekubali samsung kamzidi Nokia kwa camera quality,display quality,battery life sasa hapo unadhan nokia atatumia ushawishi gan kuteka wateja wa Samsung waende kwao?..labda hapo kwenye double camera na audio quality
 
Angalia hii,ni technology ambayo imetumika kwenye hii simu hiyo cooling pipe imeunganishwa na processor ili kuipa simu nguvu na kuipoza yaani unaweza kuchukua video kwa saa 1,ukacheza game kwa masaa 2,ukadownload n.k bila simu kupata moto yaani inakuwa kama umeshika cocacola ya baridi mkononiView attachment 581922
Hiyo feature ni spesho kwa heavy user wanaofanya multi tasking na kuplay heavy games lakin kwa majority ya watanzania wanaonunua smartphone kwa ajili ya kuperuz facebook,instagram,jamii forums na kupigia picha hawatoona umuhimu wa hiyo cooling rod
 
vitu ulivovitaja hapo juu ndio end users wanaangalia wanaponunua simu...kama umekubali samsung kamzidi Nokia kwa camera quality,display quality,battery life sasa hapo unadhan nokia atatumia ushawishi gan kuteka wateja wa Samsung waende kwao?..labda hapo kwenye double camera na audio quality

Double camera live stream, good gaming experience, Uimara wa simu mithili ya jiwe, Smoothness operation ya simu inayotokana na stock android, Coolness at high perfomance. Hizo ndo features ambazo nokia atauzia hizi simu wakati akiendelea kuboresha hayo mengine.

 
Angalia hii,ni technology ambayo imetumika kwenye hii simu hiyo cooling pipe imeunganishwa na processor ili kuipa simu nguvu na kuipoza yaani unaweza kuchukua video kwa saa 1,ukacheza game kwa masaa 2,ukadownload n.k bila simu kupata moto yaani inakuwa kama umeshika cocacola ya baridi mkononiView attachment 581922
Ivyo vyote ulivyovitaja naweza kufanya kwa s8 bila kuchemka na haina iyo cooling fan. Kinachomatter ni aina ya processor..

‍♂️naenda zimbobo.
 
Ivyo vyote ulivyovitaja naweza kufanya kwa s8 bila kuchemka na haina iyo cooling fan. Kinachomatter ni aina ya processor..

‍♂️naenda zimbobo.

Hivi umeshapitia hata hiyo review ya processor ya S8 na hii ya Nokia 8.?
 
Back
Top Bottom