Nokia Fans : Nokia 8 is Out

Hata mimi lazima nitajichanga ninunue hiyo simu kwa vile nimemiss tu bidhaa zao(nokia fanboy) sidhan kama kuna features special sana ambazo Nokia atakuwa nazo afu Samsung,Htc au oneplus asiwe nazo..ila tusubiri muda ni hakimu mzuri

Feature mpaka sasa zipo, Ya kwanza ni hiyo OZO 3D audio, Ya pili ni hiyo cooling system, Ya tatu ni full aluminium Unibody ( kumbuka hii feature ndo ilimshinda iphone mpaka akatioa simu zinazokatika zikiwekwa mfukoni)
 
Ivyo vyote ulivyovitaja naweza kufanya kwa s8 bila kuchemka na haina iyo cooling fan. Kinachomatter ni aina ya processor..

‍♂️naenda zimbobo.
Kumbuka nokia 8 ni affordable flagship subiri innovation flagship nokia 9 hapo utajua jinsi gani nokia ilivyo
Kwenye ulimwengu wa smartphones kuna vitu inabidi uvijue au nikujulishe
1) nokia inajulikana kwa ubora wa camera duniani
2) iphone ni uniqueness OS
3) ni bingwa wa design na display na gimmicks
4) sony ni simu zenye camera sensor bora
Experts wa iphone( Ari patirnen) huyu alitokea nokia ambae alifanya implementation kwenye iphone 7 dual camera pia hata huawei waliwaiba mainjinia kadhaa kutoka nokia.
Subiri nokia 9 itoke utakubali maneno haya
 
vitu ulivovitaja hapo juu ndio end users wanaangalia wanaponunua simu...kama umekubali samsung kamzidi Nokia kwa camera quality,display quality,battery life sasa hapo unadhan nokia atatumia ushawishi gan kuteka wateja wa Samsung waende kwao?..labda hapo kwenye double camera na audio quality
bei, kwamba utapata decent camera, battery life, good display na processor kama ya note 8 kwa bei nusu, Nokia 8 ni kama dola 460 middle east, pengine masoko ya asia kama india na china pia ikawa hivyo hivyo, ina maana itaangukia around 1m kwa hela za bongo wakati note 8 tegemea iwe 2M au karibu na hapo.

kifupi series za 8 za Nokia ni affordable flagship hazijatengenezwa kuonyesha latest technology ya kampuni, Nokia 9 ndio itakuja na kila kitu best.
 
Kila kitu kuhusu hii simu ni cha kawaida sana, hamna kipya cha kufanya iwe level ya Samsung na IPhone, hata LG, Sony, HTC, One plus, au Xiaomi. Wahenga wanasema" siku njema huonekana asubuhi" na kwa kila simu wanayotoa Nokia 3,5, 6 wanaendele kuniangusha na hiyo Nokia 9 pia haito fanya mapinduzi yoyote.

Kwa nini naiweka kwamba inashindana na hawa mapapa? Ni kwa sababu naona estimate za bei yake kuwa 45, 000 rupees (inatofautiana Nchi kwa Nchi) sawa na 700$ wakati S8 bei ni 750 $. Sasa sielewi hii simu inakitu gani mpaka kuchaji flagship price ya juu kiasi hicho wakati haina kipya:Nokia 8 Pre-Orders Go Live in UK, Steel Smartwatch Bundled Free

Tukiangalia upande wa display, Samsung ataongoza, sijui mpaka lini maana tofauti na wengine wanao 'subcontract', yeye anatengeneza zake pamoja na LG na Sharp (na kwenye ulimwengu wa OLED ni nuksi) , so HMD Nokia kuwafikia hawa ni impossible maana lazima watanunua kwa mmoja wapo hapo juu na Samsung displays even though LG V30 nae anaingia ulimwengu wa Poled lakini reviews nyingi bado zina sema aifikii ya Samsung (ndio the best evidence) - > Galaxy S8 OLED Display Technology Shoot-Out hii ina IPS Display ya kawaida sasa bei ya juu ya nini.

Hata hiyo Processor unayo sema ndio the most powerful ndani ya hiyo simu, kama umesahau imetengenezwa na Samsung kwa technology yao ya 10nm Qualcomm announces Snapdragon 835, built on Samsung's 10nm process ambayo pia wakatumia kutengeneza mashine yao inayo itwa Exynos 8895.... Anyway hata One plus 5 ina hiyo processor but bei ni ya kawaida/affordable.

Kwenye swala la cooling pipe hii simu sio ya kwanza, simu ya kwanza kama 'sijakosea' ilikuwa Samsung S7 na pia S8 ina cooling pipe Samsung Galaxy S8 to use a heat pipe design similar to the S7 So hamna innovation kwenye hilo pia sasa bei hiyo ya juu ya nini?

Kwenye hiyo Ovo Audio hiyo ni normal feature inayotumika sana kwenye simu nyingi kucapture multi directional audio Samsung anayo implementation similar na hiyo na LG pia kwenye Vseries yake. True audio innovation ipo kwenye QuadDac ya LG V30 huyo ndio king wa audio game kwa sasa LG V30 - what's new in Audio? But anyway DAC zilizopo kwenye Soc za sasa hivi zipo vizuri kutoa incredible sound even though watu wengi wanatumia headphones cheap so hawato sikia the tofauti yoyote. So pia tumeona hiyo Audio sio innovative feature hence bado sielewi wanachaji hiyo bei kwanini?

Kwenye swala la Camera hapa ndio nawapa SALUTI, Nokia sibishi kabisa maana wakiaamua watatengeneza something great. But hii sidhani kama ndio factor.

Anyway Hitimisho, HMD mwisho wake utakuwa kama kina One Plus, Essential Phone, Pixel (Simu ya enthusiasts) Jukwaa la watu wachache. Simu itapata success kwenye some marketers especially Europe lakini kufanya worldwide splash (na ku move 50 million units) kama Samsung or iPhone hapana!! The logistics kufanya hicho kitu hawana, pia support ; kama unavyoona service centre za Tecno, Samsung au Apple Tanzania nzima Africa nzima, na Dunia nzima, hawana nguvu hiyo. Hii ni kampuni changa sana kwa sasa, proof ni kuangalia simu zao zilivyokuwa underwhelming in innovation lakini wanaweka bei kubwa. Kama argument ni stock Android na fast updates si bora mtu anunue tu Pixel au Pixel 2 upate updates za haraka moja kwa moja toka Google. Game sasa hivi Gumu kuwa na Jina la Nokia alitokubeba kirahisi rahisi.

Ps. Msipende kutaja Samsung na mambo ya kijinga kama HMD.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakuja, 1. tuanze na hio bei, Nokia ni kampuni ya ulaya usitegemee atangaze bei kwa currency nyengine tofauti na za ulaya, ulaya wana kodi kubwa sana ndio maana ukaona bei ya nokia 8 ni euro 599 ambayo wamei estimate na dola 700.

ila imeshaanza kuuzwa nje ya ulaya nchi kama saudi arabaia, abudhabi etc na bei ni aed 1699 ambayo ni chini ya euro 400 na around usd 460 hivi source hii hapa,

Nokia 8 Smartphone launched in Dubai: Here's what it has

nitajie katika hao wakubwa nani anauza simu ya snapdragon 835 kwa dola 460? na huku kwetu watu wengi wanaenda dubai, bei zao zinaathiri bei zetu.

kwa heshima na taathima naomba uende youtube ukaone ozo audio ilivyoziaibisha hizo audio za hao kina samsung, lg , htc etc ni next level mkuu, sijacheki comparison ya lg v30 hivyo sitacomment juu ya hilo, ila sababu ozo si ya HMD ni ya Nokia wenyewe naamini hata v30 haitafua dafu.

na usisahau build quality ya hizi nokia mpya ni top notch, kila review anaetest durability anakiri ni simu ngumu alowahi kutest, ni rahisi kutengenezeka na wametumia screws badala ya magundi yanayotumika na kina Apple na samsung na wengine.

na kama unaicredit samsung sababu katengeneza sd835 kitu ambacho sio relevant basi mcredit na sony katengeneza sensor mpaka za hao samsung, mcredit na texas instruments vifaa vidogo vidogo vya mainboard na usisahau ku mcredit Nokia maana samsung zote zinaplay video ambazo zipo compressed xa x264 au x265, usisahau pia hizo samsung zina modem za qualcomm, bila kusahau samsung zinatumia technology za nokia za 2G, 3G na 4G, bila kusahau samsung analipa mabilioni kama sio matrilioni kwa mwaka kumpa nokia ili atumie patents zake.
 
Chief-Mkwawa,

IPhone na Samsung hawawezi kuuza simu zao kwa bei hiyo maana, Apple kwa sababu ya Margin na Samsung kwa sababu kama kila review inavyosifu S8 ni a Master piece kwenye Hardware.

Lakini kwa bei ya 460$ kuna simu unaweza Pata kama One plus 5, Xiaomi mi 6 zote zikiwa na Snapdragon 835 but pia kwa bei hiyo Unaweza pata the beautifully designed LG G6 (ambayo inafanya hiyo Nokia ionekane like a child's toy) OnePlus 5 review: Still the best value smartphone
Deal: LG G6 is $430 in the US, V20 drops to $393
Xiaomi Mi 6 4G Smartphone INTERNATIONAL VERSION 6GB RAM 64GB ROM-$418.69 and Online Shopping | GearBest.com Mobile

Kwenye hiyo Ozo audio nimesikiliza the so called "demonstration" against hiyo popular phone ambayo hawaja taja so mpaka reviews ziwe uploaded siwezi kusema if ni superior kuliko wanacho tumia LG au Samsung au Sony though nauhakika ni better than Apple’s. Sawa na swala la build quality na durability nitasubiri ifix it wafanye teardown na ulivyo sema "wametumia screws badala ya magundi" kumbuka hichi uwekwa kwa jili ya waterproofing Nokia 8 hawaja fanya hivyo maana sio ip68 certified wala sio a poor design choice kwa Samsung, Apple na wengine.

What do you mean kitu ambacho sio relevant? Najua unaelewa how impressive the 10nm process is at the time but hizo shout out za Sony kwa kutengeneza sensors sio kubwa sana maana Samsung pia anatengeneza sensors hizo hizo za kwake mwenyewe anatumia tu Sony kwa sababu ya the scale ya Galaxy line so hawezi tengeneza all 50 million sensors hence some zitatumia Sony sensors some in house Samsung Galaxy S8 uses two different camera sensors.

As for patents na Nokia yeah anamlipa 1 billion per year Nokia and Samsung announce expanded patent licensing deal because wanashare lakini Samsung hamlipi Nokia for Lte as you can see yeye ndio baba kwenye 4g kwa kuongoza kwa patents Dropbox - iRunway - Patent & Landscape Analysis of 4G-LTE.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakuja,
lg g6 inatumia sd 821 ambayo huwezi ifananisha na sd835 at all. na nokia 8 ni way better compare na oneplus na mi6 au unaweza nitajia kitu gani hao jamaa wamemzidi nokia 8.

kuhusu audio kuna video kibao youtube nitazileta hapa kama huzioni.

kuhusu lte patents Nokia na Qualcomm ndio wapo juu zaidi, link yako haifunguki icheki vizuri. na sio Nokia ana patents nyingi zaidi tu, bali pia speed ya lte yake ni balaa, mfano hapa Tanzania wote TTCL na VODA wanatumia Technology ya Nokia, Mitandao yote mitatu ya Korea (nchi yenye speed zaidi) wanatumia Nokia.

hii ni marketshare ya essential lte patents
992078_13455707980410_rId14_thumb.jpg


Na ukumbuke Nokia na Qualcomm wana mkataba wa changu chako, patents zao wanashare, qualcomm anauza modem na nokia anauza infrastructure hawaingiliani.

na hapa tunazungumzia standard essential patents ambazo zinatumika, kampuni inaweza ikawa na patents hata trilioni moja, ila zisitumike kokote, ndio maana unaona samsung mpaka leo anamtegemea qualcomm kwenye soc zake za exynos na pia hakuna kampuni yoyote duniani ambayo imefanya kitu kikubwa inategemea technology ya samsung ya lte (sijawahi isikia kama ipo utaniambia), na the fact nyumbani kwa samsung korea kusini mitandao yote imekamatwa na nokia inaprove my point.
 
Chief-Mkwawa,

Let's be honest tumefika mahala sasa hivi Soc zipo vizuri to the point kuwa day to day activities huwezi kuona tofauti ya 821 vs 835 maybe kwenye power efficiency. But anyway kwenye One plus 5 vs Nokia 8 cha muhimu kunote ni kuwa One plus 5 ni current king kwenye kila speed test kwa kua ni simu ya kwanza kumtoa iPhone 7. Camera zao sioni tofauti sana maana (all subjective) depends which gimmick unataka telephoto au black and white but at the end kwenye kuchagua the one plus ni better.

Kama hizo video zipo ambapo Kuna two phones, 3rd party reviewer na anataja simu ipi ni ipi kama Supersaf style nitumie nione.

Link ya lte market share ambayo nadhani latest kidogo hii hapa Dropbox - iRunway - Patent & Landscape Analysis of 4G-LTE.pdf


Kwenye maswala ya minara huko tusiguse maana hiyo ni sector nyingine kidogo na ndio kwanza Samsung Katia miguu juzi wakati huyu mkongwe, Samsung anategemea Qualcomm kwa sababu ya CDMA in America other than that hamuitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakuja,
kuhusu hio document yako
1. ni ya kizamani sana inatambua lte ni 100mbps, wewe mwenyewe unatambua kuwa TTCL tu ana 300mbps, sasa hivi lte ya kutembea imesha exceed 1Gbps siku nyingi tu

2. ameandika idadi ya patents kama nilivyokwambia hapo juu na hajaandika idadi ya patents zinazotumika, hata kichaa anaweza akawa na patents ila patents haziwi na maana hadi zitumike,

kuhusu samsung anahitaji cdma ni kweli lakini si cdma tu hata gsm, au hujui kama exynos kwenye modem zinatumia technology ya qualcomm?

yani kifupi soc zote mediatek, exynos, A series za apple, kirin zinatumia modem za qualcomm juzi juzi hapa wamemshtaki qualcomm kwa pamoja intel, samsung, apple etc wakisema anatumia vibaya patents zake

Samsung, Intel Join FTC's Antitrust Suit Against Qualcomm - ExtremeTech

na unajua sababu gani exynos hazitumiki simu nyengine? sababu ni qualcomm akikupa patents ujue humuuzii mtu.
 
Naomba usome vizuri docment kila kitu kipo Lte waienlezea from its lower limit hadi upper limit yake ya 1Gbps ukisoma Page 6.

Kwenye patents zinazotumika angalia pia kwenye Page 8 maelezo ya Seminal patents na angalia page 9 table inavyo onyesha Samsung seminal patents za lte compared to za Nokia.


Hiyo pia ya exynos kutumia qualcomm kwenye modem ni kitu tu cha kwa sababu ya hiyo hiyo issue ya CDMA maana mwaka 2015 Samsung galaxy s6 ili toka kwenye global version bila qualcomm modems only the US variants ndio zilikuwa nazo (Update: not all versions) Samsung passed Qualcomm for the Galaxy S6 LTE modem too - report

Lakini yes ndio hiyo hiyo abuse ya patents tunayoisemea na ndio maana haya makampuni yanataka Kuwa leaders kwenye 4g na 5g na kuua hizi tech za zamani waachane na hawa wakongwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzi mzuri sana
hongera mleta mada pamoja na mjadala wa Chief-Mkwawa na utakuja to be honest nimejifunza mengi sana
Hao wajamaa wanajua sana haya mambo ya phone technologies. Wanastahili pongezi maana ubishani wao hata sisi tusiojua sana haya mambo tunajifunza.

Nilivyovutiwa na mjadala wao mfupi ni kua hawabishani kukomoana ile mimi najua na wewe hujui, ule ubishani wa watu wajinga. Wanabishana kueleweshana.

Nawapongeza kwa kweli.

Ila mimi baada ya samsung kuja na haya madisplay yake ya curved and infinity display, amenimaliza kabisa.
 
utakuja,
Kampuni ya kwanza kutumia cooling pipe ni nokia kumbuka kipindi kile baada ya qualcom kutoa sd 810 ilikuwa na itilafu ya kuchemsha simu ndipo nokia ilipokuja na suluhisho la cooling pipe mwaka 2015 na nokia lumia 950

Hizo samsung zako S7 zilitoka mwaka jana sasa nani alitangulia kutoa??
 
Kampuni ya kwanza kutumia cooling pipe ni nokia kumbuka kipindi kile baada ya qualcom kutoa sd 810 ilikuwa na itilafu ya kuchemsha simu ndipo nokia ilipokuja na suluhisho la cooling pipe mwaka 2015 na nokia lumia 950

Hizo samsung zako S7 zilitoka mwaka jana sasa nani alitangulia kutoa??

Dah! Nimekosea, akili yangu ya [HASHTAG]#TeamSamsung[/HASHTAG] imenipeleka kubaya... kampuni ya kwanza kutumia hiyo system ni Sony Xperia Z2 The Xperia Z2 has liquid heat-pipe cooling technology back in 2014 pamoja na kwenye Z3 Sony Xperia Z3 Dual Teardown

Naikaitumia tena kwenye Xperia z5 premium kwa kutumia mbili before Lumia 950 kuwa hata announced Sony Xperia Z5 using dual heat pipes to curb thermal woes





Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzuri ni kwamba Nokia 8 itauzwa nusu ya bei ya Note 8 na karibia robo tatu ya bei ya s8, hivyo mtu ataangalia mwenyewe.
Lazima itauzwa bei hio kwa sababu.
1.Haina wireless charger kama s8.
Wakati charger za wireless zikionekana kupendwa na watu na kuendelea kupata umaarufu zaidi Nokia 8 haina wireless charger na rumors kuwa iphone 8 inakuja na wireless charger.

2.Nokia 8 haina stereo speakers kama galaxy s8.
Licha ya kuja na Ozo ila haina stereo speaker.

3.Nokia 8 haina waterproof imara kama ya galaxy s8.
Kumbuka kuwa Nokia 8 inakuja na IP54 wakati wenzake kama galaxy s8 ana IP68 kumbuka kuwa simu yenye IP68 inakaa kwenye kina cha maji mita 1.5 na kukaa nusu saa na kutokuwa na shida yeyote wakati IP54 kama nokia 8 haiwezi bali kuikinga na kumwagikiwa na maji kama mvua.
IMG_6033.PNG
IMG_6032.PNG

4.Haina bezel-less design.
Tazama jinsi s8 walivyopunguza bezel na rumors iphone 8 itakavyokuwa ila nokia 8 bezel yake haitovuta wengi imekaa kizamani hata mimi hainivutii.
Nokia-8.jpg

galaxy-s8_gallery_front_black_s4.png

Kiukweli lazima hata bei yake isifikie ile ya Samsung.
 
utakuja,
msikariri tu liquid cooling, je hizo liquid cooling zilikuwa zinakaa muda gani bila kuchemsha simu?
-nokia 8 ina 4k front camera
-in 4k back camera
-ina bothie ambayo inachukua camera ya mbele na nyuma

inamaana hapo camera mbili za 4k zinatumika pamoja, zamani ilikuwa simu inachukua dakika 4 tu za 4k inakuwa ya motoo, mpaka app ya camera inajifuga, hizo xperia na liquid cooling zake zilikuwa zina overheat sana, Nokia alichofanya hapa i unique na world first, camera mbili za 4k na kitu kipo cool hebu angalia hizi layer na chasis zilivyo nyigi


kama sijakosea limit ya s8 4k ni dakika 10 na hio ni best katika android nyengine dakika 4 tu, then anakuja Nokia sio tu camera moja, bali camera mbili za 4k anarecord bila kuheat, sitacommet sana hapa tusubiri reviews
 
mchichapori,
then jiulize sasa hizo features zina worth dola 200 mpaka 400 zaidi? na Nokia 8 ina
-best cooling
-fast updates
-ozo audio
-better build quality
-classic design
 
Back
Top Bottom