Hata mimi lazima nitajichanga ninunue hiyo simu kwa vile nimemiss tu bidhaa zao(nokia fanboy) sidhan kama kuna features special sana ambazo Nokia atakuwa nazo afu Samsung,Htc au oneplus asiwe nazo..ila tusubiri muda ni hakimu mzuri
Kumbuka nokia 8 ni affordable flagship subiri innovation flagship nokia 9 hapo utajua jinsi gani nokia ilivyoIvyo vyote ulivyovitaja naweza kufanya kwa s8 bila kuchemka na haina iyo cooling fan. Kinachomatter ni aina ya processor..
♂️naenda zimbobo.
bei, kwamba utapata decent camera, battery life, good display na processor kama ya note 8 kwa bei nusu, Nokia 8 ni kama dola 460 middle east, pengine masoko ya asia kama india na china pia ikawa hivyo hivyo, ina maana itaangukia around 1m kwa hela za bongo wakati note 8 tegemea iwe 2M au karibu na hapo.vitu ulivovitaja hapo juu ndio end users wanaangalia wanaponunua simu...kama umekubali samsung kamzidi Nokia kwa camera quality,display quality,battery life sasa hapo unadhan nokia atatumia ushawishi gan kuteka wateja wa Samsung waende kwao?..labda hapo kwenye double camera na audio quality
Hao wajamaa wanajua sana haya mambo ya phone technologies. Wanastahili pongezi maana ubishani wao hata sisi tusiojua sana haya mambo tunajifunza.uzi mzuri sana
hongera mleta mada pamoja na mjadala wa Chief-Mkwawa na utakuja to be honest nimejifunza mengi sana
Kampuni ya kwanza kutumia cooling pipe ni nokia kumbuka kipindi kile baada ya qualcom kutoa sd 810 ilikuwa na itilafu ya kuchemsha simu ndipo nokia ilipokuja na suluhisho la cooling pipe mwaka 2015 na nokia lumia 950
Hizo samsung zako S7 zilitoka mwaka jana sasa nani alitangulia kutoa??
Lazima itauzwa bei hio kwa sababu.uzuri ni kwamba Nokia 8 itauzwa nusu ya bei ya Note 8 na karibia robo tatu ya bei ya s8, hivyo mtu ataangalia mwenyewe.