pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,021
Mimi natafuta nokia 4.2
Nokia 9 pureview, sema ina soc ya kizamani sana sd 845.Kwani nokia latest one ni ipi kwa upande wa flagship zao!?
Aisee hutajutia hela yako!Mimi natafuta nokia 4.2
Vipi ndo unayotumia?Aisee hutajutia hela yako!
Vipi ndo unayotumia?
Nimependa display ya 5.7"
Yes ndo ninayotumia mkuu...Iko poa na Size ya kawaida kwa sie tusiopenda misimu mikubwaVipi ndo unayotumia?
Nimependa display ya 5.7"
Camera yake vipiYes ndo ninayotumia mkuu...Iko poa na Size ya kawaida kwa sie tusiopenda misimu mikubwa
Sijui nikuelezeeje lkn ni one of the bestCamera yake vipi
Umechukua kwa sh ngp na sehemu gani? Maana kkoo sizioniYes ndo ninayotumia mkuu...Iko poa na Size ya kawaida kwa sie tusiopenda misimu mikubwa
Nimenununua City Mall ukiingia tu upande huu wa DIT duka la kwanza kushoto. Bei ni 400kUmechukua kwa sh ngp na sehemu gani? Maana kkoo sizioni
ShukraniNimenununua City Mall ukiingia tu upande huu wa DIT duka la kwanza kushoto. Bei ni 400k
Aisee Nokia ndio ugonjwa wangu. Ngoja zishuke beiMpaka sasa simu yenye audio bora duniani ni nokia 8 ikifuatia htc 11u,
Kwa ujio wa huu ozo audio enhancement wapinzani wa nokia watasubiri sana tunasubiri kwasasa update ya android Oreo kwenye hii simu ambapo watakuja na update ya camera ya nokia lumia UI kitu ambacho kitakuwa bora
Kama camera ya nokia 8 imeweza kushindana na Samsung 8,huawei p10 na htc 11 sipati picha kwa nokia 9 itakapotoka itakuwaje!!
Acha niisubiri hii simu hadi mwakani najua itakuwa imeshuka zaidi niivute
Mimi simu ikiandikwa tu oneplus roho inasuuzikaMi simu ikishaandikwa NOKIA tu roho inasuuzika (I'm too conservative on this)
Zinapatikana wapi hizi nahitaji Oneplus 7t proMimi simu ikiandikwa tu oneplus roho inasuuzika
Hakuna official store tz ila unapata kupitia online..