Nokia E72 imetumika inauzwa sh. 70000.

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
Simu ipo katika hali nzuri japo nimeitumia vizuri.
Inafanana na hiyo hapo kwenye picha ambayo nimeitoa google images.
Nipo Dar es Salaam katikati ya jiji hapa Posta.
Ukihitaji nitafute kwa namba 0758158730.
Nokia_e72-1.jpg
 
Simu ipo katika hali nzuri japo nimeitumia vizuri.
Inafanana na hiyo hapo kwenye picha ambayo nimeitoa google images.
Nipo Dar es Salaam katikati ya jiji hapa Posta.
Ukihitaji nitafute kwa namba 0758158730.
Nokia_e72-1.jpg
kula 50 nicheki 0758293598
 
Simu iko katika hali nzuri japo umeitumia vizuri. Fafanua sijakuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom