Surenatumia nokia 2 toleo la kwanza la hii. iko poa sana. hii sikuipenda sana japo ni update ya hii nilionayo zinafanana karibu kila kitu isipokuwa os nadhani nokia 2 ina android 7.1.1 noughat wakat nokia 2.1 ina android 8 oreo.
hata bei pia hazina tofauti
Hawa watoto wanakera sana aisee.Mkuu kama unakuwa hunaga jumbo lolote la msingi la kuchangia Ni bora ukapita kimya kimya
Hii inakuwa inakera watu wengine wanapokuwa wanapitia comment
Kwa battery iko poa, ila flagship ya Nokia kwa sasa ni Nokia 8.1/X7,
RAM 6GB
Internal 64-128GB
Front camera 20MP
Real camera 12MP+13MP,
Battery 3500mah
etc, nokia 6 nayo si haba ni nzuri kuanzia muonekano mpk functionality,
NOTE: mwanaume kutoa li tecno kwenye hadhara bora utoe nokia tochi.












usisahau na pacha wake nokia 8.1 iliyoachiwa juzi juzi.Namaanisha yule mtangulizi wa 8.1 yaani Nokia 8.Full mkwaju.Hapana mkuu,watu tu wamekariri.Nokia 1 kwa mfano jumia inauzwa 150000, Nokia 2 bei yake ni range ya 250000 to 300000.Angalia jumia kila kitu kiko wazi.Cha ajabu kuna watu wana nunua Tecno kwa range ya 250000-500000.xiaomi au meizu ndo budget phones.... Hizi nokia ghali sana








.Shida tunajitakia wenyeweSio kwa nokia mkuuyani izi simu zenye betri kubwa kupiga shoti ni rahisi sana,kama tecno na infinix ndio zinaongoza kwa kupiga shot saket zake ama display sio nzuri sana izo ni simu africa unaye taka kukaa na chaji siku 5,tena kwa betri za lithium ndio zinazo tunza chaji ila zina piga simu shoti mno.
Brand ninayoielewa siku zote, nokia wako vzr sanaNimevutiwa sana na ujio wa NOKIA hasa specification zake pamoja na bei yake ambapo ina range 250k-270k!
Betri 4100 mAh
Kwa kua sijatumia ya Nokia smartphone naomba wenye uzoefu nazo wanishauri.Nimependa Nokia 2.1
View attachment 966155View attachment 966155View attachment 966157View attachment 966158View attachment 966159
ukifananisha na tecno, tecno ni ghali lakini ukifananisha na hawa wachina wengine hata nokia ni ghaliHapana mkuu,watu tu wamekariri.Nokia 1 kwa mfano jumia inauzwa 150000, Nokia 2 bei yake ni range ya 250000 to 300000.Angalia jumia kila kitu kiko wazi.Cha ajabu kuna watu wana nunua Tecno kwa range ya 250000-500000..Shida tunajitakia wenyewe
Tatizo ni kwamba unanunua kitu kwa bei kubwa wakati hakina ubora.Hapo ndipo tunapojitakia wenyewe haya majangaukifananisha na tecno, tecno ni ghali lakini ukifananisha na hawa wachina wengine hata nokia ni ghali
Sure mkuj Nokia wamenivutia sanaHapana mkuu,watu tu wamekariri.Nokia 1 kwa mfano jumia inauzwa 150000, Nokia 2 bei yake ni range ya 250000 to 300000.Angalia jumia kila kitu kiko wazi.Cha ajabu kuna watu wana nunua Tecno kwa range ya 250000-500000..Shida tunajitakia wenyewe
Hizi Nokia mpya zote zinatumia Android one/Go hivyo zinapata updates punde Google wanapozitoa.natumia nokia 2 toleo la kwanza la hii. iko poa sana. hii sikuipenda sana japo ni update ya hii nilionayo zinafanana karibu kila kitu isipokuwa os nadhani nokia 2 ina android 7.1.1 noughat wakat nokia 2.1 ina android 8 oreo.
hata bei pia hazina tofauti
Mkuu ka Samsung kangu kamechoka mbaya sasa simu ninayofikiria kuchukua kwa sasa ni Nokia baada ya hii Samsung... Sasa naomba unipe ubora wa Nokia 5.1(x5) maana nataka kununua Nokia kati ya hiyo x5 au x6, kama bajet ikitiki basi nitachukua 8.1 (x7)Mkuu mbona ya zamani hiyo, Mimi nina Nokia 5.1 ila sasa kuna toleo jipya 8.1 plus
Usiwe na wasiwasi,ni simu nzuri sana.Mkuu ka Samsung kangu kamechoka mbaya sasa simu ninayofikiria kuchukua kwa sasa ni Nokia baada ya hii Samsung... Sasa naomba unipe ubora wa Nokia 5.1(x5) maana nataka kununua Nokia kati ya hiyo x5 au x6, kama bajet ikitiki basi nitachukua 8.1 (x7)
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia noughatHizi Nokia mpya zote zinatumia Android one/Go hivyo zinapata updates punde Google wanapozitoa.
Hio 2 yako tayari ina android 8.1 na soon itapata android 9.
Nokia 6 ilishapata android 8 na muda si mrefu itapata android 9. Umecheki update?
Ngoja nichekiNokia 6 ilishapata android 8 na muda si mrefu itapata android 9. Umecheki update?