NOKIA 2.1 ujio mpya

NOKIA 2.1 ujio mpya

xiaomi au meizu ndo budget phones.... Hizi nokia ghali sana
 
yani izi simu zenye betri kubwa kupiga shoti ni rahisi sana,kama tecno na infinix ndio zinaongoza kwa kupiga shot saket zake ama display sio nzuri sana izo ni simu africa unaye taka kukaa na chaji siku 5,tena kwa betri za lithium ndio zinazo tunza chaji ila zina piga simu shoti mno.
 
yani izi simu zenye betri kubwa kupiga shoti ni rahisi sana,kama tecno na infinix ndio zinaongoza kwa kupiga shot saket zake ama display sio nzuri sana izo ni simu africa unaye taka kukaa na chaji siku 5,tena kwa betri za lithium ndio zinazo tunza chaji ila zina piga simu shoti mno.
Mkuu ukubwa wa betr unauhusiano na shot?
 
yani izi simu zenye betri kubwa kupiga shoti ni rahisi sana,kama tecno na infinix ndio zinaongoza kwa kupiga shot saket zake ama display sio nzuri sana izo ni simu africa unaye taka kukaa na chaji siku 5,tena kwa betri za lithium ndio zinazo tunza chaji ila zina piga simu shoti mno.
Sidhani kama hii kweli maana hata Xiomo simu zao nyingi battery zake ni kubwa (4000mah) na Kuna series yao ya Mi Max ina hadi 5500mah lakini sijawahi sikia malalamiko hayo ya shoti
 
Kwa battery iko poa, ila flagship ya Nokia kwa sasa ni Nokia 8.1/X7,
RAM 6GB
Internal 64-128GB
Front camera 20MP
Real camera 12MP+13MP,
Battery 3500mah
etc, nokia 6 nayo si haba ni nzuri kuanzia muonekano mpk functionality,
NOTE: mwanaume kutoa li tecno kwenye hadhara bora utoe nokia tochi.
 
Internal 8GB na Ram 1GB ndio vinaifanya kuwa low end phone. Memory itajaa haraka na itakuwa slow ku-respond hasa kama wewe ni mtu wa multitasking.

Angalau upate 2GB Ram na 16GB internal memory
 
Mkuu mbona ya zamani hiyo, Mimi nina Nokia 5.1 ila sasa kuna toleo jipya 8.1 plus
Hata hiyo ni ya 2018 mkuu watakua wamepoa kwa pamoja ina specification tofauti ili wapambane sokoni nadhani kwa kua waliadimika sana sokoni
 
Nimevutiwa sana na ujio wa NOKIA hasa specification zake pamoja na bei yake ambapo ina range 250k-270k!
Betri 4100 mAh
Kwa kua sijatumia ya Nokia smartphone naomba wenye uzoefu nazo wanishauri.Nimependa Nokia 2.1
View attachment 966155View attachment 966155View attachment 966157View attachment 966158View attachment 966159
natumia nokia 2 toleo la kwanza la hii. iko poa sana. hii sikuipenda sana japo ni update ya hii nilionayo zinafanana karibu kila kitu isipokuwa os nadhani nokia 2 ina android 7.1.1 noughat wakat nokia 2.1 ina android 8 oreo.

hata bei pia hazina tofauti
 
Back
Top Bottom