Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Juzi Kamati ya Uteuzi ya Washindi wa Nobel ikiwemo Tuzo ya Amani kutoka Sweden imemtangaza Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe.Abiy Ahmed kuwa ndiyo mshindi.
Nilitegemea Rais Mhe. Daktari John Joseph Pombe Magufuli angelitunukiwa moja ya Tuzo hizo kwa Sifa alizojizoelea kulingana na Wana CCM. Kwamba angeambulia hata ya Uchumi kwa kutamba kwamba ameiweka Tanzania kwenye Ramani kwa sera zake za Ufisadi, Ujenzi wa Viwanda na Sera za madini,ujenzi wa SGR na Bwawa la Stieglers lakini kwa masikitiko si Magufuli wala Waziri wake Mkuu au Waziri yeyote. Wote wameangukia pua...!!
Ukiwauliza CCM watadai hizo Tuzo zinztolewa na Mabeberu. Ni ile hadithi ya Sungura ya SIZITAKI MBICHI HIZI.
Karibuni kwa mjadala
https://www.nobelprize.org/nomination/peace/
Nilitegemea Rais Mhe. Daktari John Joseph Pombe Magufuli angelitunukiwa moja ya Tuzo hizo kwa Sifa alizojizoelea kulingana na Wana CCM. Kwamba angeambulia hata ya Uchumi kwa kutamba kwamba ameiweka Tanzania kwenye Ramani kwa sera zake za Ufisadi, Ujenzi wa Viwanda na Sera za madini,ujenzi wa SGR na Bwawa la Stieglers lakini kwa masikitiko si Magufuli wala Waziri wake Mkuu au Waziri yeyote. Wote wameangukia pua...!!
Ukiwauliza CCM watadai hizo Tuzo zinztolewa na Mabeberu. Ni ile hadithi ya Sungura ya SIZITAKI MBICHI HIZI.
Karibuni kwa mjadala
https://www.nobelprize.org/nomination/peace/