Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Natumia Nokia 6300, tatizo ni kwamba nikitaka kudownload operamini naambiwa "no valid certificate". Tatizo hapa ni nini? Nifanye nini kusolve tatizo? Naombeni msaada wenu, Asanteni! One love!
nenda u-sate vzr configuration,ziwe ni za line unayotumia e.g km line ya tgo, inabidi u-activate comfiguration za tigo then una activate to all application.(km nokia original utaona pameandkwa activate default in all applction).
Natumia Nokia 6300, tatizo ni kwamba nikitaka kudownload operamini naambiwa "no valid certificate". Tatizo hapa ni nini? Nifanye nini kusolve tatizo? Naombeni msaada wenu, Asanteni! One love!
Natumia Nokia 6300, tatizo ni kwamba nikitaka kudownload operamini naambiwa "no valid certificate". Tatizo hapa ni nini? Nifanye nini kusolve tatizo? Naombeni msaada wenu, Asanteni! One love!
Finder boy, je uliwahi kuflash simu yako.
Nimetokea kuichukia nokia kwasababu ya error hii' si ishu ngoja nikuchekie solution nikudondoshee jamaa angu! Pole sana