Aloysius Member Mar 1, 2011 80 9 Aug 3, 2011 #1 Nimejifunza kuna uhaba wa wana taaluma ya science nchini. Wengi wanataka kujuzwa hakuna au wachache wanatujuza.
Nimejifunza kuna uhaba wa wana taaluma ya science nchini. Wengi wanataka kujuzwa hakuna au wachache wanatujuza.
Mkirua JF-Expert Member Sep 9, 2010 5,647 2,498 Aug 3, 2011 #2 Sijakuelewa tafadhali make yourself clear.
T The Priest JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,029 256 Aug 3, 2011 #3 Sasa kama ukiwa scientist ndio unakuwa poor,unadhan nani atakubali huo ujinga.
Researcher Senior Member Dec 15, 2010 187 48 Aug 3, 2011 #4 Mkirua said: Sijakuelewa tafadhali make yourself clear. Click to expand... Mkuu hata mimi sijamuelewa hapa, au sijui ndio ananena kisayansi zaidi?
Mkirua said: Sijakuelewa tafadhali make yourself clear. Click to expand... Mkuu hata mimi sijamuelewa hapa, au sijui ndio ananena kisayansi zaidi?
Aloysius Member Mar 1, 2011 80 9 Aug 9, 2011 Thread starter #5 Jamani, haya mambo mengine tuyapeleke kwenye forum ya jokes.