GE2025 No reforms no election itatekelezwaje, raia tujiandaeje?

GE2025 No reforms no election itatekelezwaje, raia tujiandaeje?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Usalama kwanza

Tusilichukulie poa neno hili la no reforms no election. Watanzania tuna haki ya kujua kama siku hiyo tutarajie kuona, kusikia au kupatwa na kitu gani kutokana na harakati za kuzuia uchaguzi kama hizo reforms hazitatekelezwa ili tujiandae mapema.

Kuna wakati nilitaka kuamini kuwa no reforms no election itatekelezwa kwa kuhamasisha watu wabaki majumbani wasiende kupiga kula lakini kumbe nilikuwa najidanganya mwenyewe, hasa baada ya kumsikia Mh. Lissu akisema watakinukisha vibaya sana siku hiyo. Hapo ndiyo nikajua kuwa huwezi kukinukisha vibaya sana kwa kulala nyumbani siku ya uchaguzi usiende kupiga kura.

Kukinukisha vibaya sana nchi nzima siku ya uchaguzi ambayo watu wengi watakuwa kwenye misululu mirefu ya kusubiri kupiga kura mbele ya askali polisi wanaolinda usalama wa wapigakura, wasimamizi na masanduku ya kura bila shaka yoyote lazima kutasababisha mzozano mkubwa sana kati ya wanaotaka kupiga kura dhidi ya wasiotaka kupiga kura, vyombo vya usalama dhidi ya wanaozuia watu wasipige kura, na wanaotaka kupiga kura wakisaidiwa na walinzi wa uchaguzi dhidi ya wanaopinga uchaguzi. Kwavyovyote vile mzozano kama huu lazima utazalisha hasira, kugombana, majeraha na mauaji kwa raia na wanausalama. Hii inanitia hofu na sipendi mimi na familia yangu kuichukulia poa.

Kama mimi nimeogopa hivi bila shaka hata Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na vyombo vyote vya ulinzi na usalama huenda navyo vimeogopa kama mimi au zaidi pengine kuliko mimi; maana hawa tumewapa dhamana ya kutulinda sisi na mali zetu. Naomba watu hawa watuhakikishie usalama wetu na watueleze mapema wajibu wetu siku hiyo ili tujiandae.
 
Lengo kuu la serikali ni ustawi wa wananchi; hata kwa bahati mbaya serikali isikae kimya pale ustawi wa wananchi kijamii, kiuchumi na kisiiasa unapotishiwa na mtu wala kikundi fulani
 
k
Usalama kwanza

Tusilichukulie poa neno hili la no reforms no election. Watanzania tuna haki ya kujua kama siku hiyo tutarajie kuona, kusikia au kupatwa na kitu gani kutokana na harakati za kuzuia uchaguzi kama hizo reforms hazitatekelezwa ili tujiandae mapema.

Kuna wakati nilitaka kuamini kuwa no reforms no election itatekelezwa kwa kuhamasisha watu wabaki majumbani wasiende kupiga kula lakini kumbe nilikuwa najidanganya mwenyewe, hasa baada ya kumsikia Mh. Lissu akisema watakinukisha vibaya sana siku hiyo. Hapo ndiyo nikajua kuwa huwezi kukinukisha vibaya sana kwa kulala nyumbani siku ya uchaguzi usiende kupiga kura.

Kukinukisha vibaya sana nchi nzima siku ya uchaguzi ambayo watu wengi watakuwa kwenye misululu mirefu ya kusubiri kupiga kura mbele ya askali polisi wanaolinda usalama wa wapigakura, wasimamizi na masanduku ya kura bila shaka yoyote lazima kutasababisha mzozano mkubwa sana kati ya wanaotaka kupiga kura dhidi ya wasiotaka kupiga kura, vyombo vya usalama dhidi ya wanaozuia watu wasipige kura, na wanaotaka kupiga kura wakisaidiwa na walinzi wa uchaguzi dhidi ya wanaopinga uchaguzi. Kwavyovyote vile mzozano kama huu lazima utazalisha hasira, kugombana, majeraha na mauaji kwa raia na wanausalama. Hii inanitia hofu na sipendi mimi na familia yangu kuichukulia poa.

Kama mimi nimeogopa hivi bila shaka hata Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na vyombo vyote vya ulinzi na usalama huenda navyo vimeogopa kama mimi au zaidi pengine kuliko mimi; maana hawa tumewapa dhamana ya kutulinda sisi na mali zetu. Naomba watu hawa watuhakikishie usalama wetu na watueleze mapema wajibu wetu siku hiyo ili tujiandae.
kwani hiyo agenda nonsense ya mropokaji bado ipo? sio alienda nayo korokoroni?🐒
 
Usalama kwanza

Tusilichukulie poa neno hili la no reforms no election. Watanzania tuna haki ya kujua kama siku hiyo tutarajie kuona, kusikia au kupatwa na kitu gani kutokana na harakati za kuzuia uchaguzi kama hizo reforms hazitatekelezwa ili tujiandae mapema.

Kuna wakati nilitaka kuamini kuwa no reforms no election itatekelezwa kwa kuhamasisha watu wabaki majumbani wasiende kupiga kula lakini kumbe nilikuwa najidanganya mwenyewe, hasa baada ya kumsikia Mh. Lissu akisema watakinukisha vibaya sana siku hiyo. Hapo ndiyo nikajua kuwa huwezi kukinukisha vibaya sana kwa kulala nyumbani siku ya uchaguzi usiende kupiga kura.

Kukinukisha vibaya sana nchi nzima siku ya uchaguzi ambayo watu wengi watakuwa kwenye misululu mirefu ya kusubiri kupiga kura mbele ya askali polisi wanaolinda usalama wa wapigakura, wasimamizi na masanduku ya kura bila shaka yoyote lazima kutasababisha mzozano mkubwa sana kati ya wanaotaka kupiga kura dhidi ya wasiotaka kupiga kura, vyombo vya usalama dhidi ya wanaozuia watu wasipige kura, na wanaotaka kupiga kura wakisaidiwa na walinzi wa uchaguzi dhidi ya wanaopinga uchaguzi. Kwavyovyote vile mzozano kama huu lazima utazalisha hasira, kugombana, majeraha na mauaji kwa raia na wanausalama. Hii inanitia hofu na sipendi mimi na familia yangu kuichukulia poa.

Kama mimi nimeogopa hivi bila shaka hata Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na vyombo vyote vya ulinzi na usalama huenda navyo vimeogopa kama mimi au zaidi pengine kuliko mimi; maana hawa tumewapa dhamana ya kutulinda sisi na mali zetu. Naomba watu hawa watuhakikishie usalama wetu na watueleze mapema wajibu wetu siku hiyo ili tujiandae.
Wewe na familia yako msiende kupiga kura. Tangaza na kwenye ukoo wako hakuna kupiga kura kuhalalishwa wezi wa mali za wananchi Maskini.

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Mbona ilikaa kimya wakati watu wanatekwa na kuuwawa?
kama wangekuwa wamekaa kimya hata wewe ungeshatekwa. Serikali iko kazini 24/7. matukio haya hata nchi zilizoendelea yapo lakini wanachukua hatua. kAMA kweli serikali isingekuwa inachukua hatua kulinda ustawi wa raia hata wazazi wako wangekuwa wametekwa, maana watekaji hutujui ni akina nani na wanawateka watu wenye makosa gani.
 
k
kwani hiyo agenda nonsense ya mropokaji bado ipo? sio alienda nayo korokoroni?🐒
Nadhani kuendelea kuweko korokoroni ni mojawapo ya serikali kulinda ustawi wa wananchi kijamii, kiuchumi na kisiasa. Maandamano na mikutano ya kila siku inaharibu ustawi wa wananchi kiuchumi. Lazima kipindi cha maandamano na mikutano kijulikane na isiwe ni wakati wote mwaka mzima.
 
Wew mjinga,

Hakuna mpiga kura atajitikeza siku hiyo akisikia kuna maandamano nchi nzima.

Bila Reforms kwenye katiba kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya,na CHADEMA kushiriki na Lissu kuachiwa,

Uchaguzi batili UTAYEYUKA.

NRNE 💪 🔥
 
Usalama kwanza

Tusilichukulie poa neno hili la no reforms no election. Watanzania tuna haki ya kujua kama siku hiyo tutarajie kuona, kusikia au kupatwa na kitu gani kutokana na harakati za kuzuia uchaguzi kama hizo reforms hazitatekelezwa ili tujiandae mapema.

Kuna wakati nilitaka kuamini kuwa no reforms no election itatekelezwa kwa kuhamasisha watu wabaki majumbani wasiende kupiga kula lakini kumbe nilikuwa najidanganya mwenyewe, hasa baada ya kumsikia Mh. Lissu akisema watakinukisha vibaya sana siku hiyo. Hapo ndiyo nikajua kuwa huwezi kukinukisha vibaya sana kwa kulala nyumbani siku ya uchaguzi usiende kupiga kura.

Kukinukisha vibaya sana nchi nzima siku ya uchaguzi ambayo watu wengi watakuwa kwenye misululu mirefu ya kusubiri kupiga kura mbele ya askali polisi wanaolinda usalama wa wapigakura, wasimamizi na masanduku ya kura bila shaka yoyote lazima kutasababisha mzozano mkubwa sana kati ya wanaotaka kupiga kura dhidi ya wasiotaka kupiga kura, vyombo vya usalama dhidi ya wanaozuia watu wasipige kura, na wanaotaka kupiga kura wakisaidiwa na walinzi wa uchaguzi dhidi ya wanaopinga uchaguzi. Kwavyovyote vile mzozano kama huu lazima utazalisha hasira, kugombana, majeraha na mauaji kwa raia na wanausalama. Hii inanitia hofu na sipendi mimi na familia yangu kuichukulia poa.

Kama mimi nimeogopa hivi bila shaka hata Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na vyombo vyote vya ulinzi na usalama huenda navyo vimeogopa kama mimi au zaidi pengine kuliko mimi; maana hawa tumewapa dhamana ya kutulinda sisi na mali zetu. Naomba watu hawa watuhakikishie usalama wetu na watueleze mapema wajibu wetu siku hiyo ili tujiandae.
Ukitaka kujua hili jambo linawezekana au haliwezejani, acha chadema wafanye shuhulii zao kama kawaida, na lisu awe nyumbani.
Hakika hapa katika haya mambo hata CCM wakishind uchaguzi watakuwa wamebanwa mbavu
 
Wewe na familia yako msiende kupiga kura. Tangaza na kwenye ukoo wako hakuna kupiga kura kuhalalishwa wezi wa mali za wananchi Maskini.

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Hapo nitakuwa nimevunja katiba inayonitaka nitii katiba, katiba inanitaka niende nikapige kura ili kuipa mamlaka serikali inayoongoza na wabunge wanaoniwakilisha. Kubaki nyumbani utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu maana wenzako watakuchagulia serikali na wawakilishi
 
kitu pekee kinachowezekana labda turnout iwe ndogo
 
Usalama kwanza

Tusilichukulie poa neno hili la no reforms no election. Watanzania tuna haki ya kujua kama siku hiyo tutarajie kuona, kusikia au kupatwa na kitu gani kutokana na harakati za kuzuia uchaguzi kama hizo reforms hazitatekelezwa ili tujiandae mapema.

Kuna wakati nilitaka kuamini kuwa no reforms no election itatekelezwa kwa kuhamasisha watu wabaki majumbani wasiende kupiga kula lakini kumbe nilikuwa najidanganya mwenyewe, hasa baada ya kumsikia Mh. Lissu akisema watakinukisha vibaya sana siku hiyo. Hapo ndiyo nikajua kuwa huwezi kukinukisha vibaya sana kwa kulala nyumbani siku ya uchaguzi usiende kupiga kura.

Kukinukisha vibaya sana nchi nzima siku ya uchaguzi ambayo watu wengi watakuwa kwenye misululu mirefu ya kusubiri kupiga kura mbele ya askali polisi wanaolinda usalama wa wapigakura, wasimamizi na masanduku ya kura bila shaka yoyote lazima kutasababisha mzozano mkubwa sana kati ya wanaotaka kupiga kura dhidi ya wasiotaka kupiga kura, vyombo vya usalama dhidi ya wanaozuia watu wasipige kura, na wanaotaka kupiga kura wakisaidiwa na walinzi wa uchaguzi dhidi ya wanaopinga uchaguzi. Kwavyovyote vile mzozano kama huu lazima utazalisha hasira, kugombana, majeraha na mauaji kwa raia na wanausalama. Hii inanitia hofu na sipendi mimi na familia yangu kuichukulia poa.

Kama mimi nimeogopa hivi bila shaka hata Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya na vyombo vyote vya ulinzi na usalama huenda navyo vimeogopa kama mimi au zaidi pengine kuliko mimi; maana hawa tumewapa dhamana ya kutulinda sisi na mali zetu. Naomba watu hawa watuhakikishie usalama wetu na watueleze mapema wajibu wetu siku hiyo ili tujiandae.
Kama hakuna Electroral reforms 2025 mimi kuanzia alfajiri ya saa 11 Hadi saa 1 jioni nitakuwa ninakula keki yangu nikiwa home sweet home 🏡

Yaani mtu mwenye akili timamu unampigia mtu unaye mhitaji lakini CCM wanaenda maporini rejea mkuu wa wilaya aliye tumbuliwa kwasababu ya kuufahamisha uma kwamba wakati wa uchaguzi huwa wanaenda maporini
 
Wew mjinga,

Hakuna mpiga kura atajitikeza siku hiyo akisikia kuna maandamano nchi nzima.

Bila Reforms kwenye katiba kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya,na CHADEMA kushiriki na Lissu kuachiwa,

Uchaguzi batili UTAYEYUKA.

NRNE 💪 🔥
Hayo ni mapinduzi, na ndiyo uhaini wenyewe sasa unaosemwa. kama watu hawatajitokeza kupiga kura maana yake nchi haitakuwa na Rais, wabunge, na madiwani; hivyo hakutakuwa na mawaziri wala bajeti. Katiba yetu itakuwa imeparaganyika maana haisemi kitu kuhusu hilo.
 
kama wangekuwa wamekaa kimya hata wewe ungeshatekwa. Serikali iko kazini 24/7. matukio haya hata nchi zilizoendelea yapo lakini wanachukua hatua. kAMA kweli serikali isingekuwa inachukua hatua kulinda ustawi wa raia hata wazazi wako wangekuwa wametekwa, maana watekaji hutujui ni akina nani na wanawateka watu wenye makosa gani.
Unajuwaje kama wazazi waks hawajatekwa?

Daini bongo zenu huko ccm
 
Ukitaka kujua hili jambo linawezekana au haliwezejani, acha chadema wafanye shuhulii zao kama kawaida, na lisu awe nyumbani.
Hakika hapa katika haya mambo hata CCM wakishind uchaguzi watakuwa wamebanwa mbavu
Hawataweza kitu, sanasana wataongeza tu idadi ya majeruhi, wafu na mahabusu. Kakaaa! wali wa kushiba unaoenekana hata kwenye sinia. kama hao watu wa kuzuia uchaguzi wangekuwepo Lissu angeshakuwa nje siku nyingi. Kifupi hawapo, kinachofanyika sasa hivi ni prevention is better than cure.
 
Back
Top Bottom