No more classified information

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,407
751,964
f5872f1c94850ddb4802f9b1bfbe64e0.jpg
 
Kama huna mtu juu wa kukuweka kwenye system basi kuonekana au kupanda kule juu itahitaji ukubalike kiukweli kweli na kila mwanangu.
Mie nimeelewa hivo sijui na hapa nimechemka au nimeeleweka. ...
 
St. Kayumba sijaelewa kabisa

Nahitaji kahawa kwanza niweze amka!! Sielewi

Dictionary hapa inahusika,
Duniani hakuna kitu kinaitwa siri ya wawili bali kuna kitu kinaitwa CLASSIFIED INFORMATION yaani ni habari maalum kwa watu maalum na kwa watu maalum. ..ukishapita ule wakati maalum ile habari inakuwa sio classified tena yaani sasa inaweza kujulikana kwa wote na isiwe na madhara yoyote kulingana na wakati
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Duniani hakuna kitu kinaitwa siri ya wawili bali kuna kitu kinaitwa CLASSIFIED INFORMATION yaani ni habari maalum kwa watu maalum na kwa watu maalum. ..ukishapita ule wakati maalum ile habari inakuwa sio classified tena yaani sasa inaweza kujulikana kwa wote na isiwe na madhara yoyote kulingana na wakati
Ok! thanks. nimekupata Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom