Mkuu Gang wa Milano kikosi kipya sasa kinatisha zaidi - ni 'new invincibles' tena kina 'New Dutch Master' RVP!
messi mpuuzi sana na hana adabu kabisa....sintosahau alivyotutenda roma 2009.Huyu dogo huwa hana adabu hata kidogo. huwa nampenda kama anacheza na timu ambayo siyo yangu but usiku huu simtaki nakumbuka alivyonitenda jeuri kule kwao!