cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,312
- 187,980
Oooh mie mbona hii ndio kitu changu? Na Celibate ni nini?kitokusex kabisa
Mie nikajua kutofanya sex ni ku celibate atii.
Oooh mie mbona hii ndio kitu changu? Na Celibate ni nini?kitokusex kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Tupo kupambana tena haijaisha mpaka iishe
Nimesoma comment before nilisaha kureplay pale yako ni kwel ulichosema..
Sijawai funga maisha yangu ila nimepanga kujaribu na pia nafanya meditation sio mara kwa mara...
Nimeona umesuggest muda wote nitajaribu hiyo...
Kuhusu Counting nataka niende kisayansi zaid... Maana after 45 days kwa nilivyosoma manii ndo zinakua zimekomaa so nianze kuwa prepared for Ndoto nyevu... Maana last time challenge kubwa ilikua hiyo relapse zikawa nyingi
Aseee tukutane mwakan mamtu😃😃[emoji23][emoji23][emoji23]
Sitakiiiii [emoji23][emoji23][emoji23]Aseee tukutane mwakan mamtu[emoji2][emoji2]
Season Six ya No Fap ikaishia hapa😃Sitakiiiii [emoji23][emoji23][emoji23]
Time will tellTupo kupambana tena haijaisha mpaka iishe
Nimesoma comment before nilisaha kureplay pale yako ni kwel ulichosema..
Sijawai funga maisha yangu ila nimepanga kujaribu na pia nafanya meditation sio mara kwa mara...
Nimeona umesuggest muda wote nitajaribu hiyo...
Kuhusu Counting nataka niende kisayansi zaid... Maana after 45 days kwa nilivyosoma manii ndo zinakua zimekomaa so nianze kuwa prepared for Ndoto nyevu... Maana last time challenge kubwa ilikua hiyo relapse zikawa nyingi
Kama nilifikisha miezi sita naweza fanya zaidTime will tell
unakitunza😀Nimeanza mwezi huu nataka nimalize mpaka mwisho wa MwakaView attachment 3589329
hii chalenji unaweza baka ukala mvua, tuishi kwenye nyetoHii challenge ni ngumu nimetoka kuangalia pilau 😁😁nakustua kamoja
@ dronedrake Smooth Criminal Mbanga jr
[emoji23][emoji23][emoji23] ndiwoooo!!Season Six ya No Fap ikaishia hapa[emoji2]
Nitaanza tena next month 😃[emoji23][emoji23][emoji23] ndiwoooo!!
Zikishajaa zina faida gani🙊🙈Kwa ajili yako
Alisikika mlevi mmoja😃😃👋👋👋
Sababu za kiroho zaid...Zikishajaa zina faida gani🙊🙈
Hongera baba mtumishiSababu za kiroho zaid...
😃😃😃Sina utumishi wowote basi tuu nilisoma niliona kuwa kuna connection inatengenezaa na mtu uliyelala nae ya kiroho na nikaona kwel...Hongera baba mtumishi
Ila usisahau ile “law” ya usipokotumia kitu kinadisapia 😀