No FAP season two

No FAP season two

haku
masai dada Utaishia kurudi kule kule, baada ya mda mfupi. Bila kuwa spiritual, utakua unafanya kazi bure. kuna kipindi niliona watu, wamedownload hadi app playstore, ya kucount days nilicheka sana. Huwa najiuliza mtu unapata wapi nguvu za kuangalia porn, na kufanya masturbation au kuona sifa na ujanja kwa kuwa mzinzi hasa kwa wanaume wenzangu.

ANGALIZO: mafanikio makubwa kwa mwanaume, yanaenda sambamba na uwezo wa kuhifadhi shahawa zako, kwa mda mrefu sana. Na hili utalifanikisha, kwa kufanya meditation(tahajudi), mda wote bila kuchoka, kwa njia ya Kumshirikisha Mwenyezi Mungu. na kuishi maisha ya ki Mungu duniani, Hii ni kwa wale wasio religious people's.
hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua
chochote kile kinawezekana
 
Tunatumia mbinu gani kutoboa kwenye hili na target ni kipindi gani?

Au kila mtu awe na malengo yake?
 
Mnaanza lini tena member mpya nipo hapa

Nimesoma ule uzi wa nguvu itokanayo na jambo hilo
am in aiseee
Nimeanza mwezi huu nataka nimalize mpaka mwisho wa Mwaka
Screenshot_20260515-220004.png
 
Tayari mmeanza tena😁
Tupo kupambana tena haijaisha mpaka iishe


Nimesoma comment before nilisaha kureplay pale yako ni kwel ulichosema..

Sijawai funga maisha yangu ila nimepanga kujaribu na pia nafanya meditation sio mara kwa mara...

Nimeona umesuggest muda wote nitajaribu hiyo...

Kuhusu Counting nataka niende kisayansi zaid... Maana after 45 days kwa nilivyosoma manii ndo zinakua zimekomaa so nianze kuwa prepared for Ndoto nyevu... Maana last time challenge kubwa ilikua hiyo relapse zikawa nyingi
 
Back
Top Bottom