Mchekeshaj wa mfalme
Member
- Nov 4, 2014
- 70
- 20
Hii imetokea katika club mmoja nchini Uganda baada ya Davido kutoka katika club hiyo na kurudi Hotelini.Davido kwa sasa yupo nchini Uganda.Mwenyeji wake ambaye ni Mdogo wa Jose Chamilion amethibitisha Walikatisha Kula raha Club hapo na hatimaye davido kurudi hotelini.Hata hivyo mwenyeji wake hajathibitisha moja kwa moja ila amekiri kusikia hilo jambo.