Kakole
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,094
- 1,751
wewe ni mwanaume mkuu jiamini, mwanamke ndio anapaswa awe anakusumbua kuwa utampeleka lini kwenu? sio ww kumfuatafuata na kuonekana unahitaji ndoa kwa udi na uvumba, acha kumpa kick huyo mwanamke kwanzia sasahivi ww potezea habari ya kumpeleka kwenu ww kaa kimya, mda ukifika atajitambua mwenyewe.