NMB Ngudu wanakela wateja

NMB Ngudu wanakela wateja

nhobola ye2

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
24
Reaction score
1
Kama kuna huduma mbovu Tanzania za kibenki basi tawi la Ngudu NMB linaongoza.

Tawi hilo uchukua ATM card zilizokwisha muda wake inachukua masaa 4. Kwa jografia ya mji huu mtu akitoka Mpamwa au kikubiji analazimika kukaa siku nzima hivyo kuathiri uzalishaji kwa sekta nyingne.

Meneja hajui haya? maana muda wote amejifungia kwenye chumba makao makuu.

Tunaomba msaada jamani.
 
Janga Tanzania! 80% ya wahitimu wa sekondari na vyuo vikuu hawajui kuandika!


Tatizo la hawa vijana style ya msg wanazoandikiana na mademu wao ndizo wanaleta hata hapa jukwaani.
Ukiangalia vifupisho alivyotumia si ajabu yeye na mpenzi wake tu ndio wanaelewa ni nini kaandika. Sasa yeye anadhani hata hapa jukwani pamejaa watoto wenzake. Bure kabisa hawa watu hata ujumbe aliotaka kutoa umepoteza maana.
 
Back
Top Bottom