Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
yapata wiki ya tatu sasa sipati huduma ya nmb mobile kama vile kuangalia salio, kutuma pesa na ku recharge line zangu za simu. Majibu nnayoyapata ni pamoja na akaunti yako imezuiwa au is not available. Nimewasiliana na baadhi ya watu wa location tofauti nao wanaexperience hili tatizo kwa viwango tofauti. Nimewapigia customer care namba 15066 wakaniambia niwapigie 15166 ambako wanapokea watu wa airtel na sio nmb. Mbali na ughali wa kutumia huduma hizi za kuongea na hawa ma customer care, sio cooperative sana, kuna wengine walio experience tatizo hili humu?