NMB litazameni hili suala upya

NMB litazameni hili suala upya

JOSE KASANO

Senior Member
Joined
Apr 23, 2013
Posts
122
Reaction score
95
Benki ya NMB mnapaswa kuwa serious kama wenzenu wa CRDB hasa katika kutoa huduma ya salary advance kwa Wafanyakazi

- Mnadai kuwa walengwa(wafanyakazi) hawana vigezo vya kupewa huduma hiyo ilihali kiasi wanachoweza kuchukua kinaonekana wazi.

- Wateja walianza kuhamia kwa kasi CRFB kwaajili ya kufuata fursa hiyo.

- Ninyi(NMB) endeleeni kudai vigezo havijakamilika.

Nawasilisha kazi kwenu wahusika.
 
hata mie nashangaa😵😵

ila inawezekana wewe ulikopa mwezi wa 4 halafu system ikachelewa kukukata ukakomba ela yote! ukiomba advance ndo inakuletea nyaunyau! lipa kwanza ndo uhudumiw
 
Benki ya NMB mnapaswa kuwa serious kama wenzenu wa CRDB hasa katika kutoa huduma ya salarh advance kwa Wafanyakazi

- Mnadai kuwa walengwa(wafanyakazi) hawana vigezo vya kupewa huduma hiyo ilihali kiasi wanachoweza kuchukua kinaonekana wazi.

- Wateja walianza kuhamia kwa kasi CRFB kwaajilu yabkufuata fursa hiyo.

- Ninyi(NMB) endeleeni kudai vigezo havijakamilika. Nawasilisha kazi kwenu wahusika.
Kuna benki inaitwa CRFB? au aulikuwa na maana ya CRDB? Hii NMB unayoilaumu wewe, ndiyo inayoonekana benki bora kwa wenzako. Wanaposema mwelekeo wao ni kuwa na benki mbili au tatu, wanalenga NMB na au CRDB. Hawa watu na mawazo yao ya mwaka 1947 watatuua. Benki ya NMB ni ndiyo benki pekee ambayo bado wateja wanapanga foleni kwenye ATM machines kila mahali. Wanasema ndiyo imara zaidi. Imara my foot.. Benki imara haiwezi kuwa na huduma mbovu kiasi hicho.
 
Benki ya NMB mnapaswa kuwa serious kama wenzenu wa CRDB hasa katika kutoa huduma ya salarh advance kwa Wafanyakazi

- Mnadai kuwa walengwa(wafanyakazi) hawana vigezo vya kupewa huduma hiyo ilihali kiasi wanachoweza kuchukua kinaonekana wazi.

- Wateja walianza kuhamia kwa kasi CRFB kwaajilu yabkufuata fursa hiyo.

- Ninyi(NMB) endeleeni kudai vigezo havijakamilika. Nawasilisha kazi kwenu wahusika.
NMB sasa hivi ni Bank ya hovyo kabisa, mimi nilikua na card ya card ya NMB master card titanium nikashaa tu nikienda ATM card haikubali nawapigia simu NMB wanatoa maelezo hayana mbele wala nyuma. Hadi nikafunga safari Morogoro tawi la wami nilipofungulia account.kufika hapo ndo nikapewa maelezo ya ajabu sana at hizo card wameongeza makato yake kwa mwaka ni laki na zaidi so nilazima nijaze form kukubali makato mapya ya card. Nikawauliza why hawakututaarifu wateja wao wakaamua tu kutufungia account? Hawakuwa na maelezo nikawaambia nahamisha hela na kufunga account.
 
Back
Top Bottom