miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
Hongera mkuu - fanya kweli upate kazijana nilipokea email kutoka Nmb kwa zile kazi walizo tangaza kwa zones,vip kwa wengine maana naona mchujo wameufanya kama hujapita wanakutumia email kuwa asante kwa kusubiri ila hatuta endelea na wewe
umetumiwa lini mkuu.... mimi bado sijatumiwa emailHata mimi nimetumiwa. "Sijaula"
ok... unaweza kuipost tuionezimeanza tumwa jana
kama hujapata means umepita so keep on waiting the progressok... unaweza kuipost tuione
ok. mkuu lets waitkama hujapata means umepita so keep on waiting the progress
ok... unaweza kuipost tuione
kabla ya kutumiwa hii email uliwahi kutumiwa aptitude test uifanye?
Hapana sijawahi kutumiwa chochote.kabla ya kutumiwa hii email uliwahi kutumiwa aptitude test uifanye?
Hapana sijawahi kutumiwa chochote.
Asante mkuu. Nipe linkok pole .....jaribu kuomba nafas zingine wametoa kwa highlands zone japokua ni direct sales staff na deadline kesho
nipe email yako pmAsante mkuu. Nipe link
Ni vizuri ukaweka iyo link humu ili na wengine tuombe mkuu au wewe unaonaje?nipe email yako pm
Ni vizuri ukaweka iyo link humu ili na wengine tuombe mkuu au wewe unaonaje?