makwinyajerome
Member
- Oct 21, 2014
- 10
- 1
Ni wiki sasa NMB iringa mjini wanatusumbua wateja hawaweki hela ATM zote,mpk uingie ndani meneja haeleweki yaan usiombee uwe hauna hela cash alaf unategemea utoe hela hapa,utalia siku tatu no services wala jibu la maana