Nmb app

Nmb app

Ngoja niicheki hii kitu vizuri,, ila sijawahi kusikia NMB wakizungumzia hii..!!

Ipo mkuu mkuu
Na inatangazwa sana tu mbona.
Ilikuhakiki piga menu ya NMB MOBILE KISHA ANGALIA KIPENGELE NAMBA 6 kisha 4.
 
Tumia Play store ndugu. Kama unashida nayo. Ila faida ya hii App ni kwamba labda upo mbali na line ambayo ulijisajilia Nmb mobile ndio inatoa msaada hapo kama ilivyo ya tigo pesa haina ulazima kwamba iwe ni line uliyo jisajilia kwenye huduma husuka.

Nimejaribu ku-login toka Simu nyingine imegoma. Sijui ni kwangu tu au ndo ilivyo. Hebu wadau jaribuni na nyinyi.

Kama ni hivyo basi ki-security ni nzuri lakini sioni ubunifu wowote mpya! Ndo Ile nilisema ni NMB Mobile imrpatiwa GUI mpya basi.
 
Nimejaribu ku-login toka Simu nyingine imegoma. Sijui ni kwangu tu au ndo ilivyo. Hebu wadau jaribuni na nyinyi.

Kama ni hivyo basi ki-security ni nzuri lakini sioni ubunifu wowote mpya! Ndo Ile nilisema ni NMB Mobile imrpatiwa GUI mpya basi.
Ukiwa umeshajiandikisha huwezitumia simu ya mtu mwingine mwenye hiyo app ona goma?
Hii App itasaidia kama huna line uliyo jisajili na nmb mobile au ipo mbali na unashida na nm mobile.
Kama iivyo tigopesa hatakama line ya tigo haipo kwenye simu unapata hudumaa tu.
Changamoto hizi ap zipo ki internet zaidi
 
Nimeipata mkuu,, inabidi nijiridhishe na security kabla ya kuingia jumla..

Pamoja ila tu sasa changamoto kama huna bundle ndio vile tena unarudi kwenye *150*66#
 
Ukiwa umeshajiandikisha huwezitumia simu ya mtu mwingine mwenye hiyo app ona goma?
Hii App itasaidia kama huna line uliyo jisajili na nmb mobile au ipo mbali na unashida na nm mobile.
Kama iivyo tigopesa hatakama line ya tigo haipo kwenye simu unapata hudumaa tu.
Changamoto hizi ap zipo ki internet zaidi

Umejaribu na kuona inafanya kazi au unaongea from theoretical point of view?
 
Sijajaribu lakini na hisi kitu kama hicho kinawezekana.
Ila kama umejaribu imekataa kufanya kazi baasi nayenyewe kumbe haina umuhimu wowote zaidi nikuongeza gharama tu. Wakati mitandao kama tigo na airtel menu ya nmb ni free.
 
Back
Top Bottom