Ipo ya Android pekee.
Angalia play store.
Wanaijeria wamefanya nini mku?
WANAIJERIA KWA WIZI WA MITANDAO WAKO KATIKA UBORA WAO KABISA, YANI WAMEVAMIA Tz KAMA SIAFU
Bado naiogopa asee, wanaijeria.
Mbona mabenki makubwa duniani yana apps zao? Tena zinafanya kazi vizuri sana?
Usalama wa app ya benki unaanzia kwako, umiliki wako wa simu na matumizi yake.
Wanigeria na hackers wote wanaanzia kupitia kwenye simu yako, kama unaweka simu yako hovyo lazima wakulize.
Kutumia app za kibenki au zinazohusu mambo ya pesa hakikisha kwanza simu yako ipo salama ndo mengine yafuate.
WANAIJERIA KWA WIZI WA MITANDAO WAKO KATIKA UBORA WAO KABISA, YANI WAMEVAMIA Tz KAMA SIAFU
Mkuu umeongea vizuri sikuzote kuibiwa huwa kunaanzia na umakini wako wewe mwenyewe.NMB App ipo Kwenye play store na Mimi nishaanza kuitumia. Kimsingi sijaona kitu cha ajabu Labda naweza Sema ni NMB Mobile imepata Graphic User Interface ya kisasa!
Kimsingi inategemea channel ambayo tayari ipo yaani NMB Mobile.
Ili uitumie ni lazima uwe tayari umejiunga na NMB Mobile. Kumbuka Pia kujiunga NMB Mobile ni lazima uwe na ATM card (Unatumia ATM kujiunga NMB Mobile).
Kutumia NMB App unajisajili kupata akaunti (username+password) kwa NMB Mobile na Simu yako itaweza kuitumia hiyo app ikiwa na hiyo line tu (namba ya Simu uliyosajilia NMB Mobile. Maana yake ni kuwa kama Mtu Aki-crack NMB Mobile ndo basi tena!
Tumia Play store ndugu. Kama unashida nayo. Ila faida ya hii App ni kwamba labda upo mbali na line ambayo ulijisajilia Nmb mobile ndio inatoa msaada hapo kama ilivyo ya tigo pesa haina ulazima kwamba iwe ni line uliyo jisajilia kwenye huduma husuka.Mimi nina wasiwasi nayo kwa kuwa haina ile nembo ya nmb.
Mbona app ya nbc ina nembo kabisa? Au ni nmb ya nchi nyingine?
Mkuu umeingea vizuri sikuzote kuibiwa huwa kunaanzia na umakini wako wewe mwenyewe.
Mimi nashangaa mtu anasema eti wanaijeria wakati hapo kitaani kwao tu wezi wamejaa telee kama kuibiwa hata pesa zikiwa ndani watazifuata tu.
Na ukizingatia ilivyo ipo tofauti na Tigo pesa App yenyewe hadi uingize User name na passward nilivyo ielewa mimi hii app kama mtu alishajisajili akaingiza data zake kwenye simu yangu mimi atatumia akaunti yake akimaliza inajifunga na mimi nikiwa nashida niingize data zangu. ( mfano mzuri ilivyo facebook nk ambazo zinataka hadi uingize user name na passward)
Chief hebu tupe mrejesho kidogo kama umeshaijaribu lkn.
Naona watu wanapesa za kununulia gari ila anakubali atembee kwa miguu eti akinunua gari litaibiwa.