Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Hi kwa wana jeiefu wote natumaini tuwazima wa afya, kwa wagonjwa na wenye shida mbalimbali m/Mungu awasaidie na kuwaonekea kwenye maisha yenu.
Moja kwa moja bila kupoteza muda nimeamua kuwapandia hewani NMB Bank, hii ni benki inayojinasibu kumiliki matawi mengi hapa nchini Tanzania na blah blah kibao, lakini nimekuja kugundua IT experts wao ni watu wa ovyo sana mshahara wanakula bure tu,bora hata waongezewe kazi ya ku "repair" hata bulb kuliko ujinga wanaoufanya.
Leo majira ya jioni mida ya saa 1 nikiwa nimetuliza kichwa baada ya kutoka kwenye majukumu mara gliii gliii kuangalia ni meseji kutoka Nmb, nikaifungua na kuanza kuisoma la haula! kwa mbwembwe za kiwango cha ndege ya concorde wameanza kuandika mtejaSOPHIA sasa nikajiuliza hii makusudi au kusema mimi taarifa zangu hawana hawajui ninaitwa nani mpaka ninaitwa jina la kike, uandishi wao mbovu unaweza ukayumbisha hadi ndoa yangu.
Mke atadhani ni jina la kampango ka kando kumbe wapi, sasa kama taarifa ndogo kama hiyo mnakosea itakuwaje kuhusu fweza zetu ambazo mna "deduct" kila baada ya mda, hivi kweli nikiamua niwe serious kupiga calculations na mhasibu wenu kuhusu pesa za account yangu mnadhani mtaepuka makosa.
Mnapoteza uaminifu kwa kuwa incorrect kwenye vitu vidogo tu, ukipiga simu huduma kwa wateja mnanisubirisha zaidi ya dk 15 kweli tutafika? 😥😥😥😥😥😥😥😥.
Moja kwa moja bila kupoteza muda nimeamua kuwapandia hewani NMB Bank, hii ni benki inayojinasibu kumiliki matawi mengi hapa nchini Tanzania na blah blah kibao, lakini nimekuja kugundua IT experts wao ni watu wa ovyo sana mshahara wanakula bure tu,bora hata waongezewe kazi ya ku "repair" hata bulb kuliko ujinga wanaoufanya.
Leo majira ya jioni mida ya saa 1 nikiwa nimetuliza kichwa baada ya kutoka kwenye majukumu mara gliii gliii kuangalia ni meseji kutoka Nmb, nikaifungua na kuanza kuisoma la haula! kwa mbwembwe za kiwango cha ndege ya concorde wameanza kuandika mtejaSOPHIA sasa nikajiuliza hii makusudi au kusema mimi taarifa zangu hawana hawajui ninaitwa nani mpaka ninaitwa jina la kike, uandishi wao mbovu unaweza ukayumbisha hadi ndoa yangu.
Mke atadhani ni jina la kampango ka kando kumbe wapi, sasa kama taarifa ndogo kama hiyo mnakosea itakuwaje kuhusu fweza zetu ambazo mna "deduct" kila baada ya mda, hivi kweli nikiamua niwe serious kupiga calculations na mhasibu wenu kuhusu pesa za account yangu mnadhani mtaepuka makosa.
Mnapoteza uaminifu kwa kuwa incorrect kwenye vitu vidogo tu, ukipiga simu huduma kwa wateja mnanisubirisha zaidi ya dk 15 kweli tutafika? 😥😥😥😥😥😥😥😥.
wanitumie na fimbo yangu tu.