Nlimwomba Mke wangu anilishe Limbwata...

Nlimwomba Mke wangu anilishe Limbwata...

huyo gudume ni mpuuzi , mwaribifu sana... nmemsoma sana kwenye threads zake. sifahamu ni mwanaume wa namna gani... lakini anaonekana ni aina ya wale wanaume wakorofi na wenye mfumo dume.
Majina yao tu hata na billion siwataki
Hahahaaaa.....Bora ukutane na gagadudu kuliku huyo jamaa anaitwa Gudume[/QUOTE]
 
Nimelisoma andiko lako nami nimeona nichangie kile nilichojifunza kutoka kwenye ndoa.
Ni kweli kuwa kama mwanaume familia ndio kipaumbele chako cha kwanza. Ni kweli pia unahtaj kumsikiliza mkeo au kuwa na mipangalio inayomshirikisha mama kama mwenza wa maisha yako.
Sasa ngoja nikufundishe wewe na wengineo.
1] kwanza kabisa ndoa ni ile miaka mitatu ya kwanza so unapoanza ndoa kuanzia honeymoon uclete zile cjui beib cjui honey cjui maisha ya kwenye tv ya kimarekan yale. Uwe na kias tu ucpitilize maana unakokwenda ni mbali bado na humkin kutakuwepo muda mbaya na mzur unatakiwa ucmwonyeshe mkeo fake life ambayo hutaweza kuendelea kuionyesha kwake. Onyesha uhalisia wako maana ukija kurud kwenye uhalisia atakwambia zaman hukuwa hiv ndio ugomvi unaanzia hapo mara umebadilika nk.
2) mwanamke ucmwonyeshe mda maalum wa kurud nyumban. Leo ukirud saa moja kesho rud saa tano keshokutwa rud mapema kabisa asikusome kwenye muda hii ina faida nyingi na anatakiwa kukujua hilo ndio mipangilio yako.
3) kunatakiwa kuwepo na kikao cha familia cha mipango mikakati na utaratibu wa kifamilia wa kiuchumi, kijamii, kidini, kusahihishana, kusamehana na kukumbushana mipango yenu kufaulu au kufeli kwa mipango mliyojiwekea. kila mwanzo wa mwaka na kila baada ya miez mitatu.
4) kuwekeana mipaka, hapa namaanisha baba na mama wanatakiwa kuwa na sehem katika hiyo mipango wanaisimamia moja kwa moja bila ili kuruhusu mtu binafs kuonyesha uwezo wake, hii inampa mmoja wenu uwezo wa kujiamin na kuamin mawazo yake yaan mwisho wa cku kila mtu ajihc ni mshirika katika maendeleo ya nyumba.
4) ukitaka maendeleo ya ukweli msikilize sana mkeo hata anapongea ujinga lakin fuata nusu ya yale anayokuambia. Sasa namna ya kuyakataa mawazo yake sio moja kwa moja unakuwa na maneno ya kumshawish njia nyingine kwa maneno lain amin mwanamke anapenda mwanaume anaemsikiliza so unamsikiliza lakin unacheza na akili yake. Kumbuka mwanamke ni kama jin kila cku linatakiwa kupuliziwa uban kulituliza na uclitoe kwenye chupa ghafla ,kila unapopiga hatua ruhusu vitu flan vya kumfurahisha, kama ni gar mnunulie, out kidogo nk hii ni kwa kadir mipango nauchumi enu unavyppiga hatua. .
5) ucruhusu kuish na ndugu yeyote iwe kwao au kwenu utakuwasalama.ukiweza wasaidie kwa kias kule waliko.
6)kumbuka mwanamke anakuheshim sana maana wewe ni insurance yake na watoto wake lakin kumbuka mtoto wa kwanza wa kiume akifikisha miaka 25 wewe kwake sio inshu sana so pambana sana uwekeze b4 miaka hiyo ya ndoa maana kuanzia wakat huo mama na watoto wanakuwa pamoja kukuatak maana wakat huo huna nguvu ndio unakuta wazee wengi wanakufa kwenye miaka 60-75 coz mategemeo yao yamechukuliwa na mama. So jiwekee utaratibu wa kuwekeza ili wakibadilika ukute unapakuponea.
7) weka utaratibu wa sala nyumban kwako wa kudum,
8)kumbuka mwanamke anabadilika muda wowote ucmwamin sana kuwa na kias. Kumbuka hata huyo aliyewaumba alishatuasa tuish nao kwa akili hii ni ushahd waz kuwa ni mitambo kaa nayo kwa tahadhar kubwa.
9) mpende mkeo ila kuwa na kias.
10) kumbuka kuwa na marafiki hasa wa bar maana watu wakilewa ndio wanaongeaga ukweli na dili nyingi zipo bar japo ucwe mlevi, jitahd kuwa marafiki wazee pia ili kitu flan unapotaka ushaur unapata fasta. Mwisho. Kila levo ya uchumi na umri una marafiki zake so ucnga'ang'anie marafiki wa historia coz kila uchumi una watu wake.



salute ! umeongea kiuhalisia mno ! ukifake kwenye ndoa wewe basi chali ! na mie sifake !na sitafake
 
huyo gudume ni mpuuzi , mwaribifu sana... nmemsoma sana kwenye threads zake. sifahamu ni mwanaume wa namna gani... lakini anaonekana ni aina ya wale wanaume wakorofi na wenye mfumo dume.

Hahahaaaa.....Bora ukutane na gagadudu kuliku huyo jamaa anaitwa Gudume
[/QUOTE]


hahahah GuDume watu wameamua kuharibu cv yako uliyojijengea miaka na miaka! teh teh
 
Nmesikitishwa sana, nmesononeshwa sana,nmehuzunishwa sana,nmechukizwa sana, nimekasirishwa sana, nimeghadhibishwa sana... Nmeijenga CV yangu kwa muda usiopungua miaka 30. Huyu jamaa anakuja kuniita mimi mpuuzi?

Anapata wapi ujasiri huo?nmejiuliza maana ni mmoja ya watu ninaowaheshimu humu ndani. Nampa tu masaa 24 anitake radhi. baada ya hapo asinilaumu.


hahahah GuDume watu wameamua kuharibu cv yako uliyojijengea miaka na miaka! teh teh[/QUOTE]
 
Mkuu yaishe. Am sorry... Sikukusudia kukukwaza. Najua tunaheshimiana ndugu yangu. Tusameheane.

Nmesikitishwa sana, nmesononeshwa sana,nmehuzunishwa sana,nmechukizwa sana, nimekasirishwa sana, nimeghadhibishwa sana... Nmeijenga CV yangu kwa muda usiopungua miaka 30. Huyu jamaa anakuja kuniita mimi mpuuzi?

Anapata wapi ujasiri huo?nmejiuliza maana ni mmoja ya watu ninaowaheshimu humu ndani. Nampa tu masaa 24 anitake radhi. baada ya hapo asinilaumu.



hahahah GuDume watu wameamua kuharibu cv yako uliyojijengea miaka na miaka! teh teh
[/QUOTE]
 
Nmesikitishwa sana, nmesononeshwa sana,nmehuzunishwa sana,nmechukizwa sana, nimekasirishwa sana, nimeghadhibishwa sana... Nmeijenga CV yangu kwa muda usiopungua miaka 30. Huyu jamaa anakuja kuniita mimi mpuuzi?

Anapata wapi ujasiri huo?nmejiuliza maana ni mmoja ya watu ninaowaheshimu humu ndani. Nampa tu masaa 24 anitake radhi. baada ya hapo asinilaumu.



hahahah GuDume watu wameamua kuharibu cv yako uliyojijengea miaka na miaka! teh teh
[/QUOTE]



ahahahh na kwa maana hyo tafadhari achi ngazi mkuu! nimecheka sana jaman
 
Nme accept apology yake... Nlianza kuwapigia waandishi wa habari kuwataarifu kesho ningekuwa na press conference....




ahahahh na kwa maana hyo tafadhari achi ngazi mkuu! nimecheka sana jaman[/QUOTE]
 
Nme accept apology yake... Nlianza kuwapigia waandishi wa habari kuwataarifu kesho ningekuwa na press conference....





ahahahh na kwa maana hyo tafadhari achi ngazi mkuu! nimecheka sana jaman
[/QUOTE]



hahahahaha wapi [HASHTAG]#jerry[/HASHTAG] muro!
 
Na nyie wanawake wa mikoani mna malalamishi kila wakati. Ridhikeni na wanaume wenu wa huko sisi wa dar tuachen kama tulivyo. Unadhan kwa kauli yako wanaume wa mikoani watajisikiaje?
Asee wanaume wa dar sijui mtakua lini
 
Na nyie wanawake wa mikoani mna malalamishi kila wakati. Ridhikeni na wanaume wenu wa huko sisi wa dar tuachen kama tulivyo. Unadhan kwa kauli yako wanaume wa mikoani watajisikiaje?


ahahahah GuDume akili yako unaijua mwenyew jaman nimechekaaaaaaaaaaaaaa yaan wewe lakini dah ! una matusi mabaya sana aisee !hv hamjawah kutanaga na genta?
 
Ha ha ha.. Sister...mbona sijamtukana kabisa... ? Nmeshangaa tu kwa tabia zake ambazo mumewe akizijua atajisikia vibaya sana. Wanawake wa aina yake wanakuwa na ghubu sana. Pilipili asoila ye yamwashani ?...
Genta hajawah kutana nami... Si unajua pia nakuaa busy watu wengi wanataman kukutana nami ratiba inakiwa tight sana.


ahahahah GuDume akili yako unaijua mwenyew jaman nimechekaaaaaaaaaaaaaa yaan wewe lakini dah ! una matusi mabaya sana aisee !hv hamjawah kutanaga na genta?
 
Ha ha ha.. Sister...mbona sijamtukana kabisa... ? Nmeshangaa tu kwa tabia zake ambazo mumewe akizijua atajisikia vibaya sana. Wanawake wa aina yake wanakuwa na ghubu sana. Pilipili asoila ye yamwashani ?...
Genta hajawah kutana nami... Si unajua pia nakuaa busy watu wengi wanataman kukutana nami ratiba inakiwa tight sana.


yaan nimecheka had machozi dah !hay bwana ! kumbe ana mume ?? dah ! matusi makali haya jaman
 
Kama hajaolewa sishangai maana huo mdomo wake sijui.. Wanaume wamvumilie tu. So inawezekana hajaolewa.

yaan nimecheka had machozi dah !hay bwana ! kumbe ana mume ?? dah ! matusi makali haya jaman
 
Na nyie wanawake wa mikoani mna malalamishi kila wakati. Ridhikeni na wanaume wenu wa huko sisi wa dar tuachen kama tulivyo. Unadhan kwa kauli yako wanaume wa mikoani watajisikiaje?

naona upo kwenye hatua za mwisho mwisho kuelekea kwenye ugujike
 
Mimi huwa situmii watu wa aina yako..... Ni kharamu. Kama hili linakufanya utudharau sisi wanaume wa dar basi haina shida.... Endelea na hao hao wa mikoan
naona upo kwenye hatua za mwisho mwisho kuelekea kwenye ugujike
 
Back
Top Bottom