Njooni tumshauri John

Njooni tumshauri John

Tabia ni ngozi mtu anekupenda awez kukutusi kila aina ya tusi afu aje aombe msamaha ndo maana tunashauliwa kuchunga ndimi zetu hasa wakat wa hasira
Sasa ww utukanwe matus ya nguon na mpenz afu aje akuombe msamaha et aliteleza nyoo kama n mtoto ntakua napeleka tumiz full stop muda mwngne tuache kzngshia tamaa za mwl et ndo upendo
Afu wanaume mjue kujcmamia cyo unadanganywa kidogo tu na ww umo machoz ya mwanamke ata alie kikombe wengne ni waongo tuuuy!
Noted
 
Back
Top Bottom