Ujinga tu, uandishi wenyewe hata hauvutii.
Namshangaa jamaa anastuka mtu kumega 54. Yani hao labda anazungumzia kwa mwaka mmoja.
Kisa wanaduu sana?!
ndo hvo yan hata mwanamke ufanyeje anakuwa hastuki,he has seen too much
Pole bidada hv m.stun vipi imekuwa kweli? Naona ulijilipua pwaaaaaaaaaaaaaaaaa!
imekuwa kwelii ndio,
Ila mhh jmn mmezidi nyie wanaume,too much is harmful ujue,shaur enu mabango ya kuongeza nguvu yatawahusu sana
af ukute hapo mtu hujao,ukifika kwa wife umechokaaa,mtazaa kweli nyie
Mademu tuu au naruhusiwa kuchanganya na wanaume nilio wafi**ra
et acha ushamba ni kidume cha mbegu khaaaaaaaaaaaaaa basi majanga kidume gani unaiba mpaka misemo ya kina dada tena unabana pua ohooooo msione naongea kimipasho mi kidume me nahisi huo mkia mbele utakuwa mfupi tena hata kufukuza nzi hauwezi
nyie ndo wale mnaotinda nyusi na bado mnajiita vidume