Njooni tujadili kidogo hili

Njooni tujadili kidogo hili

Et jmn mfano upo katika relation na umepata shida ya gafla inahitaji kama laki kazaa hv...katika akiba yako umepeleza laki 1....unamshirikisha mpenz/mchumba wako ambae unajua kabisa uwezo wa kukupa anao ila anakushauri uuze cm au uuze kitu cha ndani ili upate hiyo hela...kweli kuna mapenz hapo?
Ni mchumba official au mchumba wa barabarani!!
 
Usimgeuze mwenzio kuwa SACOS..

PIA UKUMBUKE KUWA, MTU KUWA NA PESA HAIMAANISH HAINA KAZI, INAWEZEKANA ANA HYO PESA ILA INA MAJUKUMU MENGNE..
 
Kwani huyo mpenzi wako ni kwaajili ya kukutatulia matatizo yako...[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Eti laki kazaa....[emoji16] [emoji16]
....mbaf kabisa, yaani hiyo hela unaiona ndogo sanaaa..... shwain kabisa
 
Tatizo wanaume wengi wamejazana ujinga kuwa ukiomba hela unamchuna...kumbe wakati mwingine unashida kweli...
 
Mchepuko ndio habari, ila ukikomaa na njia kuu vumilia hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom