Njooni tujadili kidogo hili

Njooni tujadili kidogo hili

Uza simu tu ndugu yangu. Ha haaa siku hizi usitegemee kusaidiwa na mwanaume, bora umuombe shosti wako atakusaidia.
.
.
Adui wa mwanamke ni mwanaume!
 
UNGEKUWA MKE WAKE SAWA HAPO JAMAA ANGEKUPA HIYO HELA ILA KWAKUWA NI WAPENZI NGUMU SANA KUPEWA KIASI HICHO WANAUME TUMESHASHTUKA YAANI TUWAGHARAMIE HALAFU BAADAYE MTUKIMBIE HAKIKA HATUWEZI FANYA UJINGA HUO,MIE MPENZI KUMPA HELA MWISHO ELFU KUMI TU OTHERWISE NIWE NIMEMUOA NDO ATAFAIDI HELA YANGU
Bora hata akukimbie... Unamgharamia afu hela uliyompa anaenda kumpa kidume chake...

Tena anamwambia "yule fala kanipa"
 
Hivi huwa wazazi wenu mnawasahau mkiwa na matatizo? Mpenzi kukusaidia ni hiari wala sio lazima, mwenye jukumu la kusaidia na kulea ni mume tu.

Halafu, mnajua watu wanawekeza, wanajenga, wanajiendeleza kielimu. Huenda huyo mpenzi wako ana matumizi na kipato chake kiasi kwamba hana msaada kwa sasa.

Kuna watu wanadhani ukikamata 2m kwa mwezi una pesa nyingi, hawajui zote zipo kwenye mahesabu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh!!!Hadi babe kakujibu kisiasa kwamba pambana na hali yako??
 
Et jmn mfano upo katika relation na umepata shida ya gafla inahitaji kama laki kazaa hv...katika akiba yako umepeleza laki 1....unamshirikisha mpenz/mchumba wako ambae unajua kabisa uwezo wa kukupa anao ila anakushauri uuze cm au uuze kitu cha ndani ili upate hiyo hela...kweli kuna mapenz hapo?

Huyo mpenzi/mchumba anakufaa sana na usimwache maana anakufundisha jinsi ya
kupata "alternative source" ya pesa tena ya halali.
 
Et jmn mfano upo katika relation na umepata shida ya gafla inahitaji kama laki kazaa hv...katika akiba yako umepeleza laki 1....unamshirikisha mpenz/mchumba wako ambae unajua kabisa uwezo wa kukupa anao ila anakushauri uuze cm au uuze kitu cha ndani ili upate hiyo hela...kweli kuna mapenz hapo?
Sasa wewe mwanamke una simu ya laki 4 halafu unaniomba laki 1 wakati unazo mkononi huo ni uzuzu sikupi hata kwa dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waogope sana hawa magelifrendi... hawana maana kabisa
Wajinga Wajinga Ndio Waliwao Bora Hela Unywee Pombe Tu Itakuwa Haikuumi Kuliko Kumpa Girlfriend Ambaye Muda Wowote Anakukimbia
 
Mapenzi ni katika kushauriana pia... Siyo lazima akupe pesa hata ushauri pia sawa...

Ila inategemea huo ushauri amekupa katika hali ya kutoka moyoni au kwa kejeli na dharau...

Ni wewe kuuchukua au kuaacha...


Kuna jamaa aliombwa pesa na demu wake alivyosema hana, demu akamwambia uza buti...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom