hana background ya international relations, watu wenye uwezo na taaluma wapo lakini uchama unatawala zaidi. Siungi mkono makanjanja kutuwakilisha nje ya nchi !!
Mwenyekiti wangu wa kamati ya maendeleo KKKT Mtaa wa Njiro.Tutakukumbuka kwa juhudi zako za dhati za kuhamashisha michango kwaajili ya mabenchi ya kukalia.Unaondoka wakati bado tulikuwa tunakuhitaji sana.
Mwenyekiti wangu wa kamati ya maendeleo KKKT Mtaa wa Njiro.Tutakukumbuka kwa juhudi zako za dhati za kuhamashisha michango kwaajili ya mabenchi ya kukalia.Unaondoka wakati bado tulikuwa tunakuhitaji sana.
Kwani mlikuwa mnamtegemea yeye tu? Basi Mwombeni awatumie mabenchi ya Ki-nigeria au mwandikieni barua ya maombi ya mabench ili akawaombee kwa Olusegun Obasanjo na kwa Yala Dwar.
Mwenyekiti wangu wa kamati ya maendeleo KKKT Mtaa wa Njiro.Tutakukumbuka kwa juhudi zako za dhati za kuhamashisha michango kwaajili ya mabenchi ya kukalia.Unaondoka wakati bado tulikuwa tunakuhitaji sana.