Njoo utupongeze!

Ni mwaka mwingine tena umepita tangu mimi na my lovely wife, kipenzi cha roho yangu, nyongo mkalia ini, Mrs marejesho Filipo tulipoamua kujiunga hapa! Tumeendelea kuwa na maisha ya furaha, upendo umeongezeka si kati yetu tu bali na kwenu pia!

Katika kufurahia jambo hili, tunapenda kutoa shukrani zetu nyingi kwa wafuatao,

Arusha Wing (JF HQ)
PakaJimmy, Mzee wa Rula, LiverpoolFC, Arushaone, Erickb52, IGWE, Jackbauer, SaHaRa Voice, Mr Rocky Mtumishi Wetu, Kabakabana, Blaki Womani, Lily Flower, Preta, 'Valentina', Nwaigwe, mysoul, sweetlady, Mamzalendo na wengine wengi!

Tanga wing,
Babu DC Dark City, Mwanyasi, Arabela, CHUAKACHARA, KOKUTONA, @YNNHA

Dar wing,
Asprin, Mtambuzi, watu8, Madame B, ladyfurahia, Smile, vivian, amu, Paloma, Jiwe Linaloishi, Vin Diesel, lara 1, Heaven on Earth, mentar, Slave, Bishanga, The secretary, Nicas Mtei, St. Paka Mweusi, Baba V, Judgement, Mwita Maranya, Mamndenyi

Bila kuwasahau Kaizer, Teamo, Bigirita, fidel8, Lizzy Mwanajamii One, Michelle, KakaKiiza

Mwanza Wing,
charminglady, Honey Faith, brenda18, @C6,

Wengine ni Lady doctor, Zinduna, kiwatengu, DEMBA,

Na woooote ambao sijawataja hapa! Tunawashukuru sana kwa ushirikiano wenu na tunaamini tutaendelea kuwa pamoja na tutaendelea kuishi hapa bila kupigwa ban kama tulivyoishi kwa miaka yote hii!

Mr. Filipo and his lovely wife Mrs. marejesho Filipo.

cc: Maxence Melo, Invisible
Maisha yapo juu zaidi sasa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom