The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Alilipa shilingi ngapi kwa mganga?
Kwakua nilikuwa natoka sikupata muda wakumdadis vizur, ila nikirudi nitamuulza ili anipeleke siku ukiniudhi nikugeuze popo
Ndio maana siamini kwenye nguvu za giza.
Full kudanganyana.
Kama umeibiwa simu basi mtafute mwizi, ukimkosa basi nunua nyingine.
Ila hii ya kwenda kwa mganga ni kujidanganya.
mie O level nimesomaga huko bush, wakati nasoma kuna dada
mmoja tunakaa hosteli next room akaibiwa vistiker sijui na vitu gani vingine
hata sikumbuki akasema anaenda kwa mganga huyo mganga eti
akasema mimi ndio nimeiba Dah, wakati hata sikuwahi kuiba wala kujua vikoje
alinisababishia mfadhaiko mbaya.....
Ngoja na mimi najaribu kuunganisha dot.
Ni hivi Wewe Apologise lady kuna jambo linakutatiza hapo ulipo, huoni solution kama njia ya kuliebuka, unasita kwenda kwa sangoma kuhofia utatapeliwa au kusutwa na nafsi baada ya kwenda kwa kuwa una mashaka. Kwahiyo mada yako hii umeileta ili kupima maoni ya watu kama huko u.nakotaka kwenda(kwa sangoma) kuna uhakika wa kupata ufumbuzi au lah.
Unaweza kukuta hiyo simu ni huawei ascend y320 na halafu mganga amemuomba apeleke mbuzi mzima, kuku, mchele kilo tano, mkaa, pesa ya kiingilio jumlisha pesa ya kazi, nauli(unaweza kuta wanaishi mbali sana kwa kila mmoja), ongeza na hasara ya muda alioutumia kufuatilia hilo suala utaona ni zaidi ya gharama ya simu ilimfanya aende kwa sangoma.
Waganga wengi kama siyo wote wanaodai kurudisha mali zilizoibiwa huwa ni wanamtandao wa vibaka. Ukipeleka shida yako atakuambia njoo kesho kisha huku nyuma anatuma kikosi kufuatilia na mali ikipatikana anafika bei na washikaji. Kesho yake ukija unapewa muda na mahali utakapoikuta mali yako na unamuachia chake kama kawaida.
Mademu wanaohisi wana gundu yaani hawatongozwi nao huwa wanaingizwa mjini kwa mfumo unaofanana na huo.
Ila watu wa CCM nao kwa kupenda mambo ya masangoma balaa.
Basi sawa. Ila kama mganga ni jirani basi ujue aliichukua yeye na alijua huyo mshirikina lazima amfuate (labda ndo huwa anamuwangia kila mara)... akajichukulia chake mapema.... yani kama CCM vile
Hiko kiinimacho...yeye anadhani anatumia simuyake kumbe kawekewa uume/nyeti za mtu
C
Wachawi wapo tena Sana, wanga wapo tena kila mahali matapeli pia wapo na hubahatisha... Nimekaa kwenye hii fani nikajifunza vyote nikapractice tena kwa kufanya colabo ya uchawi na supernatural powers, nikakumbana na vitisho na vigagula hasa kwenye fani
Wachawi wa kweli Wanatumikia nguvu wasizomiliki na chochote kinachopatikana si chao wao ni mawakala tuu na ndio maana huwa maskini wa kutupwa
Mmmh!!!! Kwa hyo mchawi na mganga ni sawa???? Bado hujaniunganishia dot, mganga alifikaje kumwambia kibaka arudishe sim! Haka kasehemu funguka kitaalam
kwa hiyo sasa umeacha auC
Wachawi wapo tena Sana, wanga wapo tena kila mahali matapeli pia wapo na hubahatisha... Nimekaa kwenye hii fani nikajifunza vy
kwa hiyo sasa umeacha au