Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
- Thread starter
- #61
Nilishaweka ktk my previous threads,matumizi ya listerine,nenda kasome,ndani ya week tu uko safi kabisaTupe ya kuondoa weusi katikati ya mapaja
Nilishaweka ktk my previous threads,matumizi ya listerine,nenda kasome,ndani ya week tu uko safi kabisaTupe ya kuondoa weusi katikati ya mapaja
Mimi sio mremboweka picha tuone urembo wako
mkuu je hiuo mchangnyiko nikijpka halfu ukibaki naweza ihifadhi vipi kw matumizi ya kesho?Siku za mwanzo lazma uhis hivo,asali vijiko vitatu ,mdalasini kijiko kimoja,usizidishe wala usipunguze
Fanya water therapy mkuu,Kuna kipindi niliwahi kuijaribu,asubuh unapata glass 3 za maji ya uvuguvugu then naenda mazoezini [8km] nikirudi nakunywa lita 2 na jioni nikienda mazoezi nikirudi lita 2 tena,baada ya mwezi nilikuwa na ngozi soft sana isiyo na chunusi. Nakumbuka kina dada chuoni walikuwa wananiuliza hivi wee dilekeni unatumia lotion/mafuta ganiArabic Queen huo mchanganyiko wa asali, mdalasini na ukwaju unafaa hata kwa mwanaume mwenye sura ngumu angalau kuwa na kijimvuto? au wenywe mapele ya ndevu?
Hauharibiki weka sehem yyt upendayo ktk kijikopo kisafi,mm natumiaa kila siku lkn sihis muwasho wala maumiv yytmkuu je hiuo mchangnyiko nikijpka halfu ukibaki naweza ihifadhi vipi kw matumizi ya kesho?
Yah mm pia haipiti siku bila ya mazoez nayo inachangia kuweka ngozi bombaFanya water therapy mkuu,Kuna kipindi niliwahi kuijaribu,asubuh unapata glass 3 za maji ya uvuguvugu then naenda mazoezini [8km] nikirudi nakunywa lita 2 na jioni nikienda mazoezi nikirudi lita 2 tena,baada ya mwezi nilikuwa na ngozi soft sana isiyo na chunusi. Nakumbuka kina dada chuoni walikuwa wananiuliza hivi wee dilekeni unatumia lotion/mafuta gani
Hehehe binamuu upoo,sjakuelewa apo yani unaumwa tetekuwanga au ni vpbinamu na sie wenye tetekuwanga inasaidia ?
cc Arabian queen
Maazoezi ni muhim tena sana,na hivi vyakula vyetu havina mpangilio mzuri,mazoezi ni jambo la kupewa kipaumbele ktk ratiba za maisha yetuYah mm pia haipiti siku bila ya mazoez nayo inachangia kuweka ngozi bomba
Ndio naumwa mie tete kuwanga je haitoi??Hehehe binamuu upoo,sjakuelewa apo yani unaumwa tetekuwanga au ni vp
Yani mm siku ikipita sijafanya mazoez najilaumu najiona kama naumwa flani,am addicted ktk mazoez hasa flexible exerciseMaazoezi ni muhim tena sana,na hivi vyakula vyetu havina mpangilio mzuri,mazoezi ni jambo la kupewa kipaumbele ktk ratiba za maisha yetu
Hayo niliyoelezea sio tiba ya tetekuwanga binamu,nenda hospital kama waumwa tetekuwangaNdio naumwa mie tete kuwanga je haitoi??
Wataleta wala usjaliJamani mlioanza hizo tiba tupeni mrejesho
Aisee hongera sana,ni wadada wachache wenye kuthamini afya hufanya mazoezi. KudosYani mm siku ikipita sijafanya mazoez najilaumu najiona kama naumwa flani,am addicted ktk mazoez hasa flexible exercise
Na ivi inatokana kuzoeshwa tangu niko mdg,full trainedAisee hongera sana,ni wadada wachache wenye kuthamini afya hufanya mazoezi. Kudos
Safi sana,mazoea hujenga tabiya, mazoezi yapaswa kuwa sehemu ya ratiba zetu za kila sikuNa ivi inatokana kuzoeshwa tangu niko mdg,full trained
Asante Sana kwa masomo yako,Mimi binafsi nitayafanyia kazi.Nilishaweka ktk my previous threads,matumizi ya listerine,nenda kasome,ndani ya week tu uko safi kabisa
Welcome dear.Asante Sana kwa masomo yako,Mimi binafsi nitayafanyia kazi.
Naomba utuwekee link ya hiii kitu as you said ulishaiweka previous posts
Tupe ya kuondoa weusi katikati ya mapaja
Mkuu Mimi natka nitbu chunusi usoni nikipaka mida y usiku nikae nayo muda gani dakka ngapi uson au mpka asubuh itakuwa sawaHauharibiki weka sehem yyt upendayo ktk kijikopo kisafi,mm natumiaa kila siku lkn sihis muwasho wala maumiv yyt