mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,993
- 2,940
makini
atarii sana kwa sekunde tan utaweza kukwepa kweli radi…….?Dah...
Dalili 6 ambazo ukizisikia ujue utapigwa na radi
1. Kuhisi nywele zinakusimama
2. Ngozi kusisimka
3. Kusikia ladha ya uchachu mkali kinywani
4. Jasho kutoka viganjani
5. Harufu ya gesi ya klorini
6. Mitetemeko ya vitu vya metali vilivyo karibu yako.
Ukihisi moja wapo kati ya hizo usizipuuze. ...utakuwa umebaki na sekunde 5 kabla hujapigwa na radi. Kimbia mbio ingia ndani ya jengo au gari kuokoa maisha yako[emoji2960]