Njoo uchague yako

Ni kweli mpz, ndio maana nimeomba kikiisha unipatie ahahahaaa,
Naogopa nikinunua pampula anaweza akaivunja maana huwa anarudi akiwa anatembelea vitu kama mtoto anayejifunza kutembea [emoji26]

Eti anatembea kama nini? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ney jamani mnaanza mapema hivi kuumiza mbavu zangu! [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…